Watanzania mnajionaje?

Watanzania mnajionaje?

Mtanzania ndie kaja na wazo la kuanzisha jukwaa hili ambalo wewe umepata nafasi ya kulitumia kuandika ' uharo' wako huu hapa, twambie labda ni lipi sasa la maana ambalo wewe umelifanya ktk jamii. Huwezi kukejeli wana Jf na watanzania kwa ujumla pasi na ssb ya msingi. Acha ulimbukeni kijana!
Kijana anamiliki I phone basi anaona kila kitu ameshamaliza katika Dunia hii.
 
Mtanzania ndie kaja na wazo la kuanzisha jukwaa hili ambalo wewe umepata nafasi ya kulitumia kuandika ' uharo' wako huu hapa, twambie labda ni lipi sasa la maana ambalo wewe umelifanya ktk jamii. Huwezi kukejeli wana Jf na watanzania kwa ujumla pasi na ssb ya msingi. Acha ulimbukeni kijana!
Mtazamo hasi huu, hizo tuhuma sihusiki nazo.
 
Ewaaaa! Mkuu mawazo yangu na yako yamefumaniana! Nilitaka kuwasilisha hiki ulichokisema, Ramli yangu inaniambia kuwa huyu ni ONTARIO katika ID mpya! Na kama ni yeye basi ajue anahitajika huku atoe ufafanuzi wa grisi' ya Mil 50 aliokwapua.
 
Ontario mwenzako huyu...
Screenshot_20180518-094348.jpg
 
Inapofikia hatua ya kuona maisha ya watanzania ni ya ajabu hapa unafikia hata kuona kizazi chako (Baba na Mama) ni watu wa ajabu kuliko sisi.

Umewahi kujiuliza hiyo jamii uliyopo unavyokuona wa ajabu?

Watanzania sisi ni wapuuzi na wajinga wa kiwango cha juu huna uwezo wa kuubadilisha kifikra au kimtazamo juu ya maisha yetu, tunaishi tutakavyo ili mradi hatuvunji sheria zetu na maisha yetu haya yanatufanya tuzoee kile tunachofanya.

Kufika tu hapo Goma umeanza kutuona mbwa je ungefika Uturuki au Uarabuni si ungejiua kwa chuki zako dhidi yetu.
 
hongera kwa kufanya kazi huko mkuu nimependa CV yako ulivyo anza ila kuna maneno una andika kifupi rekebisha hapo mkuu
 
Kitu kimoja tu. Siingilii uhuru wa mtu, ninataka kujua Watz mnajiskiaje mnajionaje ktk hili. Kama mko sawa ... jst you not me. Binafsi nataka kila mtu Duniani amtazame mtazania kichanya kama ilivyo kwa waafrica wengine wa mataifa mengine. Kwanini mtanzania kupata VISa ashikiliwe bango isiwe kwa mkenya ama mrwanda?
Nyinyi huwa mnajiskiaje?
Una maanisha nini hapo unaposema Mtanzania ashikiwe bango kupata visa??? Fafanua vizuri jamii ikuelewe. Yaani una passport ya Tanzania unanyimwa visa kivip??
 
Kanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.

Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.

Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingilia katika maisha yangu, nitatetea uamuzi wao wa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.

Hususan kama ni watu wazima wenye akili zao.

Ukiishi namna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.

Najitahidi pia kuishi hivi, kama mtu hanihusu nataka nisiwe na sababu ya kuingilia uhuru wa maisha yake na kile anachofanya.

Utaumiza kichwa kurekebisha kila mtu aishi unavyotaka wewe, utaweza?
 
Back
Top Bottom