Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Kijana anamiliki I phone basi anaona kila kitu ameshamaliza katika Dunia hii.Mtanzania ndie kaja na wazo la kuanzisha jukwaa hili ambalo wewe umepata nafasi ya kulitumia kuandika ' uharo' wako huu hapa, twambie labda ni lipi sasa la maana ambalo wewe umelifanya ktk jamii. Huwezi kukejeli wana Jf na watanzania kwa ujumla pasi na ssb ya msingi. Acha ulimbukeni kijana!

