Watanzania mnajionaje?

Watanzania mnajionaje?

They are useless at all kama kufanikiwa mbona watanzania wengi wamefanikiwa kuhusu mapungufu yapo kila sehemu ndio maana kuna msemo No one is perfect .
Hiyo kasumba tunayo wabongo tuu dunia nzima mtu akisha panda ndege na kuongea ongea inglish basi ana dismiss wengine wote as failures.
Utaskia watanzania hawaajiriki sjui hawafanyi nini khaa!
Ni roho mbaya tu znakuwaga
 
Kanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.

Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.

Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingilia katika maisha yangu, nitatetea uamuzi wao wa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.

Hususan kama ni watu wazima wenye akili zao.

Ukiishi namna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.
 
Hiyo kasumba tunayo wabongo tuu dunia nzima mtu akisha panda ndege na kuongea ongea inglish basi ana dismiss wengine wote as failures.
Utaskia watanzania hawaajiriki sjui hawafanyi nini khaa!
Ni roho mbaya tu znakuwaga
Fact mkuu Nigger's always wanajiona wao ni bora kuliko wengine asa wakiwa na vitu ambavyo kwenye jamii inayomzunguka hawana.

Jiulize amefanya nini cha kumtofautisha na wengine au chenye maendeleo chanya katika dunia hii kama walivyo wachache Eg.
Newton
Zukerberg


Kwa hiyo tunabaki pale pale binadamu wote ni sawa maana kila mtu ana mapungufu yake.
 
Kanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.

Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.

Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingiliakatika maisha yangu, nitatetea uamuzi waowa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.

Hususan kama ni watu wazimawenye akili zao.

Ukiishinamna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.

Hii comment aisome pia mwalimu wangu Inna.

Shukrani mkuu.
 
Fact mkuu Nigger's always wanajiona wao ni bora kuliko wengine asa wakiwa na vitu ambavyo kwenye jamii inayomzunguka hawana.

Jiulize amefanya nini cha kumtofautisha na wengine au chenye maendeleo chanya katika dunia hii kama walivyo wachache Eg.
Newton
Zukerberg


Kwa hiyo tunabaki pale pale binadamu wote ni sawa maana kila mtu ana mapungufu yake.
Hahahaha
Sja wahi ona eti mkenya ana waponda wenzie ana wavalue wa Rwanda ila wabongo wachache wana ulimbukeni huo
Halaf kama ulivo sema una kuta hajawahi hata kuachieve jambo la maana at least awe wa mfano basi
 
Kanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.

Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.

Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingiliakatika maisha yangu, nitatetea uamuzi waowa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.

Hususan kama ni watu wazimawenye akili zao.

Ukiishinamna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.
Waswahili wanasema fata mambo yako.. Yasiyokuhusu wala usiwe na time nayo, waachie wenye nayo wa deal nayo
 
Nisikitike sana SANA! Mambo ninayoyaona kwa Watanzania wengi hapa Nchini na hata nje ya TZ .. Dah! ni ASANTE. Tabia zenu HAZIELEZEKI, hazieleweki! Yaani ikitokea nimeishi na Mtz ama kufanyakazi na MTz hua ni changamoto kwelikweli!

Binafsi si mchangiaji sana hapa JF cuz most of your posts sio maisha ya ulimwengu huu kidogo twitter ina reflect life lkn hapa JF .. bla bla bla nothing serious. Huwa nafurahia sana ku- socialise na watu wa nje kuliko watu hapa Tz. Kama nakosea samahani sana ila nayasema tu kwa nia nzuri. Zungumzia U - Great thinker utabaki kwa MAX na crew yake, kidogo Biashara uchumi na ujasiriamali alikuepo Ontario wengine wooote, ni ASANTE kwa kweli. HAMNA KITU

Nikifikiria kuhusa hapa nyumbani styl ya maisha mlionayo kwa ujumla hua nachoka, wakati mwingine nakosa usingizi kabisaa .. tujivunie nini TZ? Yan ni aibu (kitu sipendi maisha yangu yote). Entertainment hakuna, Siasa safi hakuna, Uadilifu zero, Uchapakazi hakuna, Time management zero! Yani ni changamoto!! You are not existing in reality, You are not existing in this world life.

Franky, nmeishi na kufanya kazi na Nigerians, Rwandese huko nje, And am not sorry to say I envy these Ppl.

Et kwani Watz mnajionaje?
Hapo kwenye bold .... usilaumu bali tafuta chanzo cha tatizo ...

Mfumo wa maisha ya watanzania ulivurugwa tangu awali na unaendelea kuvurugwa tu ...
Siasa ya kujitegemea ... ni mfumo gani tena huo ulimwenguni

Ruksa ... ilitusaidia nini?

Ubinafsishaji ... ilikuwa kama kuuza mali za nchi kwa bei ya kutupa ...

Maisha bora kwa kila mtanzania... yalikuwa wapi?

Sasa viwanda .... viko wapi?

Hatuko well organized na hii ni sera ya chama tawala ili kiendelee kuwa madarakani.

Watu hawajitambui kabisa! Ila safari hii tutawabadilisha tu.
 
Back
Top Bottom