Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
And we are proud!Aachane na sisi. Haya ndio maisha yetu.![]()
Ahamie Naijeria basi
And we are proud!Aachane na sisi. Haya ndio maisha yetu.![]()
ni ujinga mtupu kutufananisha na BOKO HARAMNajiona tofauti kidogo na Watanzania wengi.. Kama yupo Mtz makini kama me ataungana na mimi kuuliza, mnajionaje??
Kiranga jamaniKanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.
Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.
Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingiliakatika maisha yangu, nitatetea uamuzi waowa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.
Hususan kama ni watu wazimawenye akili zao.
Ukiishinamna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.
Tuanzie Hapo unanini cha utofouti mkuu?Najiona tofauti kidogo na Watanzania wengi.. Kama yupo Mtz makini kama me ataungana na mimi kuuliza, mnajionaje??
Huniangushagi iceHiyo kasumba tunayo wabongo tuu dunia nzima mtu akisha panda ndege na kuongea ongea inglish basi ana dismiss wengine wote as failures.
Utaskia watanzania hawaajiriki sjui hawafanyi nini khaa!
Ni roho mbaya tu znakuwaga
Swali zuri.Tuanzie Hapo unanini cha utofouti mkuu?
Hahahaha
Sja wahi ona eti mkenya ana waponda wenzie ana wavakue wa Rwanda ila wabongo wachache wana ulimbukeni huo
Halaf kama ulivo sema una kuta hajawahi hata kuachieve jambo la maana at least awe wa mfano basi

Tunajiona wa rangi nne.
Tazama ramani utaona nchi nzuri yenye mito na mabonde mengi yaaaa(anayefahamu amalizieee)



Kitu kimoja tu. Siingilii uhuru wa mtu, ninataka kujua Watz mnajiskiaje mnajionaje ktk hili. Kama mko sawa ... good and well. Binafsi nataka kila mtu Duniani amtazame mtazania kichanya kama ilivyo kwa waafrica wengine wa mataifa mengine.Kanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.
Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.
Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingiliakatika maisha yangu, nitatetea uamuzi waowa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.
Hususan kama ni watu wazimawenye akili zao.
Ukiishinamna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.
Ngoja aje atueleze huo utofouti mkuu...Swali zuri.
tunajiona kama tulivyo!!..
hata mimi huwa nawashangaa sana watu wa nchi nyingine. maana huwa na enjoy kukutana na mtanzania mahala popote pale.



Hahah!! Mkuu mkuuShikamoo Ras Simba naona mwanafunzi wako yupo anapima uwezo wake hakika wewe ni mwalimu bora kabisaa.
Zamani vijana wengine wakienda nje, wakirudi wanakuja na tabia flani...unashindwa kuwatofautisha na upande mwingine!Braza umepotoka sana
Yaan umepata ka stereotype flan si kazuri
Nimeamua ku quote uzi wote sasa maana umenishangaza sana.Nisikitike sana SANA! Mambo ninayoyaona kwa Watanzania wengi hapa Nchini na hata nje ya TZ .. Dah! ni ASANTE. Tabia zenu HAZIELEZEKI, hazieleweki! Yaani ikitokea nimeishi na Mtz ama kufanyakazi na MTz hua ni changamoto kwelikweli!
Binafsi si mchangiaji sana hapa JF cuz most of your posts sio maisha ya ulimwengu huu kidogo twitter ina reflect life lkn hapa JF .. bla bla bla nothing serious. Huwa nafurahia sana ku- socialise na watu wa nje kuliko watu hapa Tz. Kama nakosea samahani sana ila nayasema tu kwa nia nzuri. Zungumzia U - Great thinker utabaki kwa MAX na crew yake, kidogo Biashara uchumi na ujasiriamali alikuepo Ontario wengine wooote, ni ASANTE kwa kweli. HAMNA KITU
Nikifikiria kuhusa hapa nyumbani styl ya maisha mlionayo kwa ujumla hua nachoka, wakati mwingine nakosa usingizi kabisaa .. tujivunie nini TZ? Yan ni aibu (kitu sipendi maisha yangu yote). Entertainment hakuna, Siasa safi hakuna, Uadilifu zero, Uchapakazi hakuna, Time management zero! Yani ni changamoto!! You are not existing in reality, You are not existing in this world life.
Franky, nmeishi na kufanya kazi na Nigerians, Rwandese huko nje, And am not sorry to say I envy these Ppl.
Et kwani Watz mnajionaje?
Heshima yako bro! Maneno yako yameeleweka vizuri sanaKanuni moja ya maisha ninayotaka kuifuatilia kwa ukaribu sana ni kutojishughulisha sana na maisha ya watu wasionihusu.
Wao wana uhuru kuishi wanavyotaka, na mimi nina uhuru wa kuishi ninavyotaka.
Na hata kama sifurahii wanavyoishi, maadam hawajaniingiliakatika maisha yangu, nitatetea uamuzi waowa kuishi wanavyotaka, na nataka wao pia waheshimu mimi uamuzi wa kuishi ninavyotaka.
Hususan kama ni watu wazimawenye akili zao.
Ukiishinamna hii headaches nyingi zisizo za lazima unaziepuka.
Wewe mwènyewe ni mzigo. Umeishia kulalamika bila kuonyesha way forward kwamba nini kifanyike.
![]()
Ni jipuuuu
Aachane na sisi. Haya ndio maisha yetu.![]()



HahahahaZamani vijana wengine wakienda nje, wakirudi wanakuja na tabia flani...unashindwa kuwatofautisha na upande mwingine!
..huyu kapotoka.