Watanzania matatizo yenu hayatamalizwa na Hayati Magufuli. Hatujadili tena mstakabili wa nchi yetu!

Umeme unqtumia vipuli kutoka nje. Matrasfomer yanatokq nje. Vifaa vya kufulia umeme wa maji vinatoka nje nk. Tunarudi kwenye swala ya usafirishaji wa vifaa hivyo qmbao kwa Sasa ni ghali sana. Mqarobaini wa huduma Bora ni effect ya katiba mbovu tuliyonayo. Labda rais aamue kuwa dictator kama jpm
😂😂😂😂

Sawa mkuu
 
Daah!

Sasa nashindwa namna ya kuelezea jinsi isivyo kawaida kwa aliyekuwa Raisi wa nchi yetu Tanzania hayati John Pombe Magufuli!

Huyu alikuwa ni kiongozi wa aina gani?

Ni miaka miwili sasa hatuna naye, lakini bado hajatoka mioyoni na midomoni mwetu, tena kila uchwao jina lake linakuwa linavutia zaidi kuwa maarufu zaidi mitandaoni na hata kwenye vijiwe vyetu kwa mijadala iwe kwa mabaya ama kwa mazuri, utadhani yupo hai bado!

Naona ni kama tumekwama na hatufanyi tena mijadala kuhusu ustawi wa nchi yetu, badala yake ni jina tunabishana kama wendawazimu kuhusu jina lake! Je, zile chanjo hazijaleta shida?

Tuna matatizo mengi kiasi cha kuzidi hata wakati wa yeye akiwa Raisi, lakini ni kama hatuoni shida hizo! kuna anguko la kifedha duniani na migogoro ya kifedha itayosababisha mgogoro mkubwa kwa nchi zenye madeni na kuanguka kwa uchumi Nani atusaidie?

Tuna matatizo ya chakula, mvua kutokunyesha kwa wakati, umeme kukatikatika na kama si kukosekana kabisa, tuna wafanya biashara wengi wameanguka kibiashara shida ikiwa ni TRA

Tunamadeni kama nchi na mengine yameiva na hatuna uwezo wa kuyalipa mpaka tukakope tena ndo tuyalipe!

Huduma mbovu kwenye sector za kiserikali, tunawatoto wako shule miaka saba lakini hawajui hata kuandika majina yao na wengine wako secondary lakini hawajui chochote

Tunaupungufu wa walimu, madaktari, manesi n.k

Kama nchi tutakabiliana vipi na njaa inayotokana na ukosefu wa mvua kwa mwaka huu, mifugo yetu itaishije kwenye ukame ujao, watu wetu vipi,

Badala ya kuongelea mambo ya mhimu, wasomi wetu ndio wanaongoza mijadala isiyo na tija

Sifahamu, labda ndio sehemu ya wao kufichia udhaifu wao?

Ni lini tutaacha mijadara ya kipuuzi na kuanza kudili na mambo mhimu ya maendeleo kwa nchi yetu?

Si wapinzani wala chama tawala! Wote tunakutanishwa hapa kumwongelea mtu asiyekuwa nasi!

Nchi za watu weusi iko siri iliyojificha ndani yetu ambapo kuijua kwake, ni hadi wazungu wahame kwenye hii sayari!
Wewe tu ndio haujamsahau lakini sisi tunaona miaka miwili ambayo magufuli hayupo imekua ya neema sana kwa watanzania maana ajira sasa nje nje, pesa inaonekana mtaani huyu mzee alibana pesa hata kupata buku ilikua mtihani lakini kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu tunaendelea kuimarika kiuchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja kwaiyo tunasema Magufuli apumzike kwa amani maana ametuacha katika mikono salama
 
Wewe tu ndio haujamsahau lakini sisi tunaona miaka miwili ambayo magufuli hayupo imekua ya neema sana kwa watanzania maana ajira sasa nje nje, pesa inaonekana mtaani huyu mzee alibana pesa hata kupata buku ilikua mtihani lakini kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu tunaendelea kuimarika kiuchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja kwaiyo tunasema Magufuli apumzike kwa amani maana ametuacha katika mikono salama
Hizo ajira za njenje ziko pande zipi mkuu!

Tupo vijana hapa wahitimu miaka miwili sasa bila ajira! Au ni zile za mtoto wa shangazi yangu au huyu tunaswali naye msikiti mmoja/ au vyovyote
 
Hizo ajira za njenje ziko pande zipi mkuu!

Tupo vijana hapa wahitimu miaka miwili sasa bila ajira! Au ni zile za mtoto wa shangazi yangu au huyu tunaswali naye msikiti mmoja/ au vyovyote
kama haujabahatika kupata kazi serikalini serikali imeweka mazingira wezeshi ya vijana kujiajiri kupitia mikopo inayotolewa na halmashauri mikopo yenye masharti nafuu pia vijana wanapewa fursa katika kilimo


Vijana 812 wamechaguliwa kujiunga na programu ya mafunzo ya kilimo biashara ijulikanayo kama Building Better Tomorrow (BBT). Lengo ni kutengeneza ajira milioni tatu za vijana na wanawake kwenye sekta ya kilimo. kwaiyo chagua pa kwenda mzee usikae kulaumu
 
kama haujabahatika kupata kazi serikalini serikali imeweka mazingira wezeshi ya vijana kujiajiri kupitia mikopo inayotolewa na halmashauri mikopo yenye masharti nafuu pia vijana wanapewa fursa katika kilimo


Vijana 812 wamechaguliwa kujiunga na programu ya mafunzo ya kilimo biashara ijulikanayo kama Building Better Tomorrow (BBT). Lengo ni kutengeneza ajira milioni tatu za vijana na wanawake kwenye sekta ya kilimo. kwaiyo chagua pa kwenda mzee usikae kulaumu
Asante mzee!

Ngoja nijiajiri mkuu
 
Tunapaswa kuendeleza misingi mizuri aliyotuwekea JPM kama tunataka kujikwamua kutoka hapa.

Tuendeleze uchapakazi, upingaji wa rushwa kwa vitendo, kuongeza nidhamu na uwajibikaji, kujenga miundombinu bora.

Tuachane na safari zisizokuwa na tija, mikopo, na kubembelezana.

Kwa kifupi tunapaswa kuwa na uongozi imara kama wa JPM kama tunataka kujikwamua kutoka kwenye mkwamo huu tulionao kama taifa.

Hatutaendelea kwa ku-copy na ku-paste kwa wazungu. Changamoto zao hazilingani na zetu, uwezo wao haulingani na wetu, na zaidi; mazingira yao hayafanani na yetu.
Kuimba kupokezana
 
Magufuli kauwa kila kitu...
Uchumj
Jamii
Siasa
Uchumi?
Kaondoka kawaachia uchumi wa kati, sasa kiko wapi?

Hayo ya jamii ndo nini?

Siasa? Hata ningekuwa Mimi, mambo ya Kampeni huku tayari uchaguzi umekwisha, ni kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi
 
Uchumi?
Kaondoka kawaachia uchumi wa kati, sasa kiko wapi?

Hayo ya jamii ndo nini?

Siasa? Hata ningekuwa Mimi, mambo ya Kampeni huku tayari uchaguzi umekwisha, ni kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi
Acha ujinga uchumi wa kati ni world Bank walibadilisha madaraja yao na sio kwamba tulipanda
Uchumi wa kati uko sawa na south Africa?
Lilianzishwa daraja la uchumi wa kati wa chini ambao tuliwekwa.

Magufuli ni satanic blended presida hakutaka hoja mbadala toka upinzan au ccm?
 
Ten yrs kufanya nini ?
Wenzetu siku mia zinaanza kutoa matokeo wewe unawaza teni yrs na ndo maana tunaitwa vibaya na Trump.

Mwezi mmoja ulimuomdoa waziri uingereza sisi tunasubili ten yrs, naogipa tusi kwako ila tubadilishe akili ili tujue sisi tuna thamani kwenye hii nchi kuliko hao watawala.
Hilo pumbavu limekaririshwa achana nalo,litakuchosha tu
 
Acha ujinga uchumi wa kati ni world Bank walibadilisha madaraja yao na sio kwamba tulipanda
Uchumi wa kati uko sawa na south Africa?
Lilianzishwa daraja la uchumi wa kati wa chini ambao tuliwekwa.

Magufuli ni satanic blended presida hakutaka hoja mbadala toka upinzan au ccm?
Bora ulivyokubali huo uchumi mdogo wa kati!
Hivi unahabari kwamba huo uchumi mdogo kipindi hiki cha miaka miwili mh Rais alitangaza kwamba umeporomoka?

Unadhani ni kwa kipi kiliuporomosha
 
Watu wanabidi kulipa Kodi ili Serikali ipate mapato tatizo la watu kushindwa kulipa Kodi limesababisha na ugumu wa Maisha na kuwa na ukosefu wa Ajira ambao kwa asilimia kubwa imesababishwa na Magufuli

Sera zake zote za viwanda hajajenga hata kiwanda kimoja
Magufuri amezua watu wasiajiliwe wakati hayupo?
Na hiyo sababu iliyosababishwa ni ipi uitaje hapa au nyie ndo wale chawa msiojitambua?
Kama ni mapato wanasema yamevunja rekodi kama ni wawekezaji wamevunja record sasa kinachozuia ni nini
 
Back
Top Bottom