- Thread starter
- #81
😂😂😂😂Umeme unqtumia vipuli kutoka nje. Matrasfomer yanatokq nje. Vifaa vya kufulia umeme wa maji vinatoka nje nk. Tunarudi kwenye swala ya usafirishaji wa vifaa hivyo qmbao kwa Sasa ni ghali sana. Mqarobaini wa huduma Bora ni effect ya katiba mbovu tuliyonayo. Labda rais aamue kuwa dictator kama jpm
Sawa mkuu