Hii nchi ni full of cry babies ndio maana Hayati Mwalimu Nyerere aliachia madaraka na hatukumuelewa Hayati Magufuli pia

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
449
1,009
Nchi wamejaa wanachi na viongozi lia lia wanasahau hakuna Maendeleo yanayo weza kuja Jasho , ukiwabana kidogo ili mapato mengi yaingie serikalini huwezi kueleweka , Hayati Benjamin mkapa aliwahi kusema..

"Napenda kuwakumbusha kuwa njia ya maendeleo imejaa jasho na vumbi. Tuzingatie utamaduni wa kupenda kufanya kazi kwa bidii, maarifa, ubunifu na kujituma. Lawama ni tamu ikitoka mdomoni, lakini peke yake haitapeleka mkono kinywani. Na katika kila mfanyakazi akumbuke kuwa la muhimu si muda anaotumia kufanya kazi, bali kiasi cha kazi anayoweza kufanya katika muda aliopewa."

Nchi kutawala ni rahisi sana pia , yaani wanachi wanathamini mambo mengi ya kijinga na yasiyo ya muhimu , mfano unaweza zuia au toa huduma duni kwenye Maji na Umeme wakatulia tu ila ukapandisha Bando la internet au vifurushi vya sms hapo kila mtu atafumbua mdomo .

Hayati Mwalimu Nyerere aliachia madaraka ili watu na viongozi lia lia wafanye wanayotaka kufanya kufanya

Hayati Magufuli alipata ugumu na bado haeleweki mpaka sasa hivi sababu alitaka watu wapitie njia Ngumu wapate maendeleo .

Kwa Hali ilivyo hata wakiingia CHADEMA madarakani watu hawatoacha kulia

Watu tubadilike fikra , Kiuhalisia hata uende Nchi yoyote huwezi kutana na Tajiri mvivu .


 
Nchi wamejaa wanachi na viongozi lia lia wanasahau hakuna Maendeleo yanayo weza kuja Jasho , ukiwabana kidogo ili mapato mengi yaingie serikalini huwezi kueleweka , Hayati Benjamin mkapa aliwahi kusema..

"Napenda kuwakumbusha kuwa njia ya maendeleo imejaa jasho na vumbi. Tuzingatie utamaduni wa kupenda kufanya kazi kwa bidii, maarifa, ubunifu na kujituma. Lawama ni tamu ikitoka mdomoni, lakini peke yake haitapeleka mkono kinywani. Na katika kila mfanyakazi akumbuke kuwa la muhimu si muda anaotumia kufanya kazi, bali kiasi cha kazi anayoweza kufanya katika muda aliopewa."

Nchi kutawala ni rahisi sana pia , yaani wanachi wanathamini mambo mengi ya kijinga na yasiyo ya muhimu , mfano unaweza zuia au toa huduma duni kwenye Maji na Umeme wakatulia tu ila ukapandisha Bando la internet au vifurushi vya sms hapo kila mtu atafumbua mdomo .

Hayati Mwalimu Nyerere aliachia madaraka ili watu na viongozi lia lia wafanye wanayotaka kufanya kufanya

Hayati Magufuli alipata ugumu na bado haeleweki mpaka sasa hivi sababu alitaka watu wapitie njia Ngumu wapate maendeleo .

Kwa Hali ilivyo hata wakiingia CHADEMA madarakani watu hawatoacha kulia

Watu tubadilike fikra , Kiuhalisia hata uende Nchi yoyote huwezi kutana na Tajiri mvivu .


Wako radhi kwenda kuandamana kusifia kina Mbowe ila sio kufanya kazi 😁😁
 
Watu wenye maisha duni ndio wana fanya sana kazi na kujituma sana, kina mama wanaamka saa 10/9 alfajiri wapo barabarani wamebeba vyombo kwenda kuchuuza samaki wakaange wauze watoto waende shule n.k.

Watu wanafanya sana kazi lakini mfumo wa kiuongozi ni mbovu.

CCM ni shida.
 
Nchi wamejaa wanachi na viongozi lia lia wanasahau hakuna Maendeleo yanayo weza kuja Jasho , ukiwabana kidogo ili mapato mengi yaingie serikalini huwezi kueleweka , Hayati Benjamin mkapa aliwahi kusema..

"Napenda kuwakumbusha kuwa njia ya maendeleo imejaa jasho na vumbi. Tuzingatie utamaduni wa kupenda kufanya kazi kwa bidii, maarifa, ubunifu na kujituma. Lawama ni tamu ikitoka mdomoni, lakini peke yake haitapeleka mkono kinywani. Na katika kila mfanyakazi akumbuke kuwa la muhimu si muda anaotumia kufanya kazi, bali kiasi cha kazi anayoweza kufanya katika muda aliopewa."

Nchi kutawala ni rahisi sana pia , yaani wanachi wanathamini mambo mengi ya kijinga na yasiyo ya muhimu , mfano unaweza zuia au toa huduma duni kwenye Maji na Umeme wakatulia tu ila ukapandisha Bando la internet au vifurushi vya sms hapo kila mtu atafumbua mdomo .

Hayati Mwalimu Nyerere aliachia madaraka ili watu na viongozi lia lia wafanye wanayotaka kufanya kufanya

Hayati Magufuli alipata ugumu na bado haeleweki mpaka sasa hivi sababu alitaka watu wapitie njia Ngumu wapate maendeleo .

Kwa Hali ilivyo hata wakiingia CHADEMA madarakani watu hawatoacha kulia

Watu tubadilike fikra , Kiuhalisia hata uende Nchi yoyote huwezi kutana na Tajiri mvivu .


Mkuu,

Unawalaumu watu kwa kulia lia tu, halafu pia unawalaumu kuwa wakipata huduma duni ya umeme wanatulia tu?

Yani wakilia lia unawalaumu, wakitulia tu unawalaumu pia?

Hapo huoni kwamba hata wewe pia unalialia tu bila muelekeo?
 
If you look at their mode of life and their lifestyle in general you can observe that BLACKS are born with the situation like an half-mad mentality and mindsets."
Jan Smuts, the First Prime Minister of Union of South Africa
 
Back
Top Bottom