Watanzania kwa sasa hawajali Rais anamteua nani mwenye nini kama atasimamia Haki, amani na Maendeleo ya Taifa

Rasterman

JF-Expert Member
Feb 24, 2015
33,905
44,020
Kwanza nimpongeze Mh Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyezi Mungu azidi kumpa nguvu na hekima ktk utendaji wake.

Kwamba ameteua Mpagani, Mwislam, mkristo au Myahudi hiyo sio issue wala kesi.

Cha muhimu ni kuwa huyo anayeteuliwa anaamini katika misingi ya Utu, Haki, umoja na utamaduni wa kukataa Rushwa na ufisadi wa mali za umma.

Kwamba kwa mfano tume ya Uchaguzi iliyopita ilikuwa ikiongozwa na Dr Wilson Mahera kama Mkurugenzi na Jaji Charles Mwijage kama mwenyekiti wa Tume na madudu waliosimamia chaguzi zote za 2019 na 2020.

Kwamba viongozi wa taasisi mbali mbali na ufisadi kwa mujibu wa CAG na report zake zote za Prof Assad na Charle Kichere hoja ya Udini, ukanda na ukabila haina maana yoyote kwangu.

Ikiwa Kuna wazalendo wa Kweli wenye kujali Maslahi ya Taifa na sio Chama na familia zao basi hata ikibidi woote akateua wa Dini moja au wa Kabila Moja au wa Kanda moja ni sawa tu.

Nawatakia kazi njema wapenda amani woote Tanzania.

Katiba Mpya itaondoa mizozano kati ya Makatibu na Mawaziri.
 
Kwanza nimpongeze Mh Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyezi Mungu azidi kumpa nguvu na hekima ktk utendaji wake.

Kwamba ameteua Mpagani, Mwislam, mkristo au Myahudi hiyo sio issue wala kesi.

Cha muhimu ni kuwa huyo anayeteuliwa anaamini katika misingi ya Utu, Haki, umoja na utamaduni wa kukataa Rushwa na ufisadi wa mali za umma.

Kwamba kwa mfano tume ya Uchaguzi iliyopita ilikuwa ikiongozwa na Dr Wilson Mahera kama Mkurugenzi na Jaji Charles Mwijage kama mwenyekiti wa Tume na madudu waliosimamia chaguzi zote za 2019 na 2020.

Kwamba viongozi wa taasisi mbali mbali na ufisadi kwa mujibu wa CAG na report zake zote za Prof Assad na Charle Kichere hoja ya Udini, ukanda na ukabila haina maana yoyote kwangu.

Ikiwa Kuna wazalendo wa Kweli wenye kujali Maslahi ya Taifa na sio Chama na familia zao basi hata ikibidi woote akateua wa Dini moja au wa Kabila Moja au wa Kanda moja ni sawa tu.

Nawatakia kazi njema wapenda amani woote Tanzania.

Katiba Mpya itaondoa mizozano kati ya Makatibu na Mawaziri.
Yangu ni hayo tu kwa leo
 
Yaani kweli aiseee, mie pia naona Rais Samia, aendelee kujaribu kuangalia integrity na competence pamoja utendaji kazi wa mtu, na wala mambo ya dini,kabila au sijui kujaribu kubalance 50/50 gender, isiwe issue, na kama ni lazima sana basi hiyo pia, itokane na kuhakisha mtu ni competent na ana integrity kutumikia taifa, na pia ajaribu kupunguza 'recyling' ya viongozi walioshindwa kuperform walipopewa uongozi sehemu zingine....
Kwanza nimpongeze Mh Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyezi Mungu azidi kumpa nguvu na hekima ktk utendaji wake.

Kwamba ameteua Mpagani, Mwislam, mkristo au Myahudi hiyo sio issue wala kesi.

Cha muhimu ni kuwa huyo anayeteuliwa anaamini katika misingi ya Utu, Haki, umoja na utamaduni wa kukataa Rushwa na ufisadi wa mali za umma.

Kwamba kwa mfano tume ya Uchaguzi iliyopita ilikuwa ikiongozwa na Dr Wilson Mahera kama Mkurugenzi na Jaji Charles Mwijage kama mwenyekiti wa Tume na madudu waliosimamia chaguzi zote za 2019 na 2020.

Kwamba viongozi wa taasisi mbali mbali na ufisadi kwa mujibu wa CAG na report zake zote za Prof Assad na Charle Kichere hoja ya Udini, ukanda na ukabila haina maana yoyote kwangu.

Ikiwa Kuna wazalendo wa Kweli wenye kujali Maslahi ya Taifa na sio Chama na familia zao basi hata ikibidi woote akateua wa Dini moja au wa Kabila Moja au wa Kanda moja ni sawa tu.

Nawatakia kazi njema wapenda amani woote Tanzania.

Katiba Mpya itaondoa mizozano kati ya Makatibu na Mawaziri.
 
Kwanza nimpongeze Mh Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyezi Mungu azidi kumpa nguvu na hekima ktk utendaji wake.

Kwamba ameteua Mpagani, Mwislam, mkristo au Myahudi hiyo sio issue wala kesi.

Cha muhimu ni kuwa huyo anayeteuliwa anaamini katika misingi ya Utu, Haki, umoja na utamaduni wa kukataa Rushwa na ufisadi wa mali za umma.

Kwamba kwa mfano tume ya Uchaguzi iliyopita ilikuwa ikiongozwa na Dr Wilson Mahera kama Mkurugenzi na Jaji Charles Mwijage kama mwenyekiti wa Tume na madudu waliosimamia chaguzi zote za 2019 na 2020.

Kwamba viongozi wa taasisi mbali mbali na ufisadi kwa mujibu wa CAG na report zake zote za Prof Assad na Charle Kichere hoja ya Udini, ukanda na ukabila haina maana yoyote kwangu.

Ikiwa Kuna wazalendo wa Kweli wenye kujali Maslahi ya Taifa na sio Chama na familia zao basi hata ikibidi woote akateua wa Dini moja au wa Kabila Moja au wa Kanda moja ni sawa tu.

Nawatakia kazi njema wapenda amani woote Tanzania.

Katiba Mpya itaondoa mizozano kati ya Makatibu na Mawaziri.
Rais analeta machafuko unayaona na unashangilia halafu tusikuite mpuuzi.

Hata kama ni uchawa umezidi.

Ogopa sana machafuko ya udini bora hata ukabila maana jirani yako ni dini nyingine.

Unastahili laana.

Mwambieni rais ukweli.
Anachofanya ni maandalizi ya machafuko
 
Yaani kweli aiseee, mie pia naona Rais Samia, aendelee kujaribu kuangalia integrity na competence pamoja utendaji kazi wa mtu, na wala mambo ya dini,kabila au sijui kujaribu kubalance 50/50 gender, isiwe issue, na kama ni lazima sana basi hiyo pia, itokane na kuhakisha mtu ni competent na ana integrity kutumikia taifa, na pia ajaribu kupunguza 'recyling' ya viongozi walioshindwa kuperform walipopewa uongozi sehemu zingine....
Umeongea pointi kubwa sana.

Ajaribu kupunguza Recycling
 
Rais analeta machafuko unayaona na unashangilia halafu tusikuite mpuuzi.

Hata kama ni uchawa umezidi.

Ogopa sana machafuko ya udini bora hata ukabila maana jirani yako ni dini nyingine.

Unastahili laana.

Mwambieni rais ukweli.
Anachofanya ni maandalizi ya machafuko
Hayo machafuko anzisha wewe uone utakavyoshughulikiwa.
 
kama wewe ni mtanganyika na unashabikia vitu vya kijinga namna hiyo nakupa pole,nyie ndio wale mtakaokuja kutoa macho mtakapoona wazenj wanawatawala na wamejazana huku wakati kwao hakuingiliki

vita ya udini haitomuacha mtu salama
 
kama wewe ni mtanganyika na unashabikia vitu vya kijinga namna hiyo nakupa pole,nyie ndio wale mtakaokuja kutoa macho mtakapoona wazenj wanawatawala na wamejazana huku wakati kwao hakuingiliki

vita ya udini haitomuacha mtu salama
Hizo hisia za udini hujaa kwenye moyo wa mtu mdini. Sisi tujadali utendaji kazi.

Rais hawezi kuteua mpaka wahuni kisa tu anataka kubalance na kuridhisha matakwa ya watu
 
Hizo hisia za udini hujaa kwenye moyo wa mtu mdini. Sisi tujadali utendaji kazi.

Rais hawezi kuteua mpaka wahuni kisa tu anataka kubalance na kuridhisha matakwa ya watu
suala sio kuteua wahuni nina amini upande mwingine kuna wanaofaa pia,apunguze kimuhemuhe cha kuweka wajahidina wenzie tunajua ndio champa raha akiweka wanaofanana nae hivyo kuambiwa si jambo baya anashtuliwa apunguze speed kidogo asije leta majanga siku za mbeleni
 
Back
Top Bottom