Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,835
Nini tofauti Kati ya utulivu na amani?Hali ya kutokuwa na vita
Nini tofauti Kati ya utulivu na amani?Hali ya kutokuwa na vita
Amezikwa tayariMkuu, nipo Kihangi, Mbinga Vijijini.
Yupo wapi huyo George Floyd ?
Amezikwa tayari
.uyo anahitaji bakoraUpo dunia ipi mkuu
.mjumbe upo sayari ipi au marsEnhee, alikufa lini, aliishi wapi na alikuwa ni nani huyo George Floyd.
.mjumbe upo sayari ipi au mars
Fuatilia nyuzi humu zipo nyingi tu kumhusu huyo mutu, auEnhee, alikufa lini, aliishi wapi na alikuwa ni nani huyo George Floyd.
Fuatilia nyuzi humu zipo nyingi tu kumhusu huyo mutu, au
Nenda you tube mzee baba utaona kila kitu humo
Alikuwa mteule wa kugombea urais chadema 2020. Ameuawa na polisiMjumbe, nipo Kihangi, njia panda ya Mbinga Mjini.
George Floyd amezikwa hapo hapo makaburi ya Kinondoni au alirudishwa kwao mkoani?
Una uhakika? Huenda huijui tafsiri halisi ya neno amani!Tanzania tuna amani tele
Hili linakufaa wewe na ule ukoo wa panyabuku na nduguze nguchiroTukio la mazishi liko live Al Jazeera, BBC na Sky news.
Lugha ni English na lugha ya alama.
Kama una nafasi jaribu kufuatilia ni tukio la kusisimua kwa wale wenye kuthamini utu wa binadamu.
Up dates;
Hahahaaaa...... Wewe umeshahojiwa hapo Takukuru!Hili linakufaa wewe na ule ukoo wa panyabuku na nduguze nguchiro
Niko kwenye foleniHahahaaaa...... Wewe umeshahojiwa hapo Takukuru!
Kila la kheri bwashee!Niko kwenye foleni
Njoo jiunge JoKila la kheri bwashee!
Hizo tafiti kafanya nani kama ni mashirika toka nje ya afrika sio ushahidi huoAmani ni Nini? Mbona Tanzania ni nchi ya nne kwa kukosa furaha? Amani na furaha vinaenda pamoja
Tajiju sasaMzee Mama, mtandao wa Youtube hapa Kihangi, Mbinga, kupatikana ni shida. Nashindwa kumfuatilia huyo mtu.
Na majirani zangu na hata Afsa Mtendaji nilikuwa napiga nae stori hajui Mheshimiwa George Floyd ni nani.