secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Tele ndio kilo ngapi?Tanzania tuna amani tele
Tele ndio kilo ngapi?Tanzania tuna amani tele
25Tele ndio kilo ngapi?
Tajiju sasa
Ntumie gahawa jombaaa😜Najiju tena? Yashakuwa hayo bibie?
Basi msingesema tufatilie mazishi ya mtu ambae hata hamjui kumwelezea anatuhusu vipi.
Huku Kihangi, Mbinga, hatumjui, hatuna access ya kumjua, na labda haitusaidii kumjua, na hatumfatilii George Floyd!
Narudisha swali kwako, WEWE UKO DUNIA GANI?
Mbinga gahawa za kutoshaNajiju tena? Yashakuwa hayo bibie?
Basi msingesema tufatilie mazishi ya mtu ambae hata hamjui kumwelezea anatuhusu vipi.
Huku Kihangi, Mbinga, hatumjui, hatuna access ya kumjua, na labda haitusaidii kumjua, na hatumfatilii George Floyd!
Narudisha swali kwako, WEWE UKO DUNIA GANI?
Ya Mwangosi yamezidi ya Floyd ila tu sisi hatujitambui na hatujali haki ya mtu ya kuishi, kila kitu poa tu.Tukio la mazishi liko live Al Jazeera, BBC na Sky news.
Lugha ni English na lugha ya alama.
Kama una nafasi jaribu kufuatilia ni tukio la kusisimua kwa wale wenye kuthamini utu wa binadamu.
Up dates;
Tatizo hao wamarekani weusi ni wabaguzi sana kwa watu wanaotokea Africa. Wapambane na hali yaoAlieuawa ni mtu mweusi lakini naona nchi za wazungu ndio ziko mstari wa mbele kwenye maandamano, na kupiga kelele. Nchi za kiafrika kimyaaaa....
Tatizo hao wamarekani weusi ni wabaguzi sana kwa watu wanaotokea Africa. Wapambane na hali yao
Nimejibu sababu katuuliza kwa nini nchi za Africa haziandamani.Waafrika Kusini wabaguzi na Waamerika Weusi nao Wabaguzi, basi bakini kwenu Tanzania hamtabaguliwa!
Nyinyi ndio mmewafuata kwao!