Raisi Samia sasa ameanza kuwa myeyushaji na mpotoshaji na hili ni la kusikitisha sana. Watanzania wamekuwa na hii katiba zaidi ya miaka 30 lakini ni zaidi ya miaka 10 sasa tunaongelea katiba mpya. Bunge la katiba liliundwa, maoni ya katiba mpya yalikusanywa kwa gharama kubwa na leo unataka kutupotezea muda na pesa nyingi kwa mradi mwingine usio na tija wa kuelimisha kwa miaka mitatu katiba ambayo ndiyo inaenda kubadilishwa. Sababu kubwa ni kunufaisha wachache tu na wewe binafsi badala ya kufikiria ni jinsi gani utaipeleka Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa.
Lakini cha ajabu kwenye mkutano wako umejaribu kutuelezea EA kwamba nchi zina demokrasia tofauti! hii ni kupotosha nchi pekee yenye demokrasia ni Kenya. Uganda na Rwanda sio demokrasia kabisa! na kitendo cha kusema nchi hizi ni za kidemokrasia ni kujaribu kujifurahisha na kuhalalisha kwamba sisi demokrasia yetu ni hii ya kuiba kura na kuwa na mikutano kila siku isiyo na tija. Hii serikali inasikitisha sasa inaaanza kuwa serikali ya uongo.
Inawezakana vipi unasema mkatiba ni ya wote lakini serikali ndiyo inataka pekee kutoa maelekezo ya mchakato wa katiba! Kwa hili umesikitisha sana na usikokuwa makini utakuwa umepoteza muda na utasaulika mapema sana kwenye historia yako. Kuna sera za uchumi unafanya vizuri lakini kama katiba bora itakushinda legacy yako itakuwa mbaya kuliko ya Kikwete.
Fanya katiba bila kujali chama bali unatakiwa kujali nchi. Watanzania ambao huu mtaba tu wa DP world hawajaweza kuusoma wataweza vipi kusoma katiba na kuielewa?
Hizi umuhimu wa kujua katiba ni wakati wa kutaka kubadilisha au wakati inatumika? Kwanini hakukuwa na education miaka yote
Lakini cha ajabu kwenye mkutano wako umejaribu kutuelezea EA kwamba nchi zina demokrasia tofauti! hii ni kupotosha nchi pekee yenye demokrasia ni Kenya. Uganda na Rwanda sio demokrasia kabisa! na kitendo cha kusema nchi hizi ni za kidemokrasia ni kujaribu kujifurahisha na kuhalalisha kwamba sisi demokrasia yetu ni hii ya kuiba kura na kuwa na mikutano kila siku isiyo na tija. Hii serikali inasikitisha sasa inaaanza kuwa serikali ya uongo.
Inawezakana vipi unasema mkatiba ni ya wote lakini serikali ndiyo inataka pekee kutoa maelekezo ya mchakato wa katiba! Kwa hili umesikitisha sana na usikokuwa makini utakuwa umepoteza muda na utasaulika mapema sana kwenye historia yako. Kuna sera za uchumi unafanya vizuri lakini kama katiba bora itakushinda legacy yako itakuwa mbaya kuliko ya Kikwete.
Fanya katiba bila kujali chama bali unatakiwa kujali nchi. Watanzania ambao huu mtaba tu wa DP world hawajaweza kuusoma wataweza vipi kusoma katiba na kuielewa?
Hizi umuhimu wa kujua katiba ni wakati wa kutaka kubadilisha au wakati inatumika? Kwanini hakukuwa na education miaka yote