Watambue wale waliong'ara kwa thread zao mjengoni

Watambue wale waliong'ara kwa thread zao mjengoni

1. ladyfurahia nashangaa hii thread nilikuwa sijaiona. Nashukuru sana kwa kuthamini mchango wangu.

2. Wale washindi waliopatikana lini tutaanza kuwaona kwenye bongo movies..? ..lol
Cc: Arushaone, Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Maskini Mamndenyi ! Mpaka umentia huruma za kiukweli sasa!
EXCUSE zote unanipa za nini my dear ?
Hivi hunizoei tu? Miaka yote hii ?
Na mbona nilishakwambiaga kwamba humu mtandaoni , mie sitokwagi povu , gesi with related matter !.
Kufikia mie kukwazika humu ni shughuli pevu!
Na ikitokea mtu kanikwaza hua namtokea kwa Piter Mizengo .
Mie humu ni mzaha , maskhara , jocks kwa kwende mbeleni .
Hebu rejesha hizo sorry ghalani , utazitumia kwa matumizi mengine! Mi na wewe utani mbona tunao zamani ?
Imekuaje leo ushindwe kunisoma!
Nafika kudhani mie ndy nikutake MSAMAHA WEWE kwa kushtuliwa na maneno yangu (ya mzaha)
sorry Mamndenyi ! Umenisimanzisha ujue !

Kumbe unafahamu kuangukia hivi. Ningekujuaje nisingetoa sorry. Nimekutambua kuwa una roho nzuri. Thank u kama sikukukwaza. Sorry zangu lazima zirudi na kiambatanisho unless keep it.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom