FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Siasani yuko FaizaFoxy haeleweki hata anachokipenda, namkumbuka sana
na uzi wake wa Nyerere hakuifanyia tz chochote (samahani kama nimekosea kidogo topic)
Niliusoma Sunday kabla sijaenda church, nililia sana nilipoona FaizaFoxy amekomaa
kwamba hajaona alichokifanya Nyerere (R.I.P); was Ritz ndo alikuja akaupooza
ule uzi, but siwezi kumsahau FaizaFoxy
Nyerere kaifanya Tanzania kuwa maskini wa kutupwa alipokuwa madarakani. Nini zaidi ya umasikini aliouleta?
Ukweli ni mchungu, lazima ulie. Ule uzi unaitwa Nyerere Alifanya Makosa Makubwa na sivyo ulivyoandika wewe na link ni hii hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/522045-nyerere-alifanya-makosa-makubwa.html