Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
hahahaaaaa tusiemo mwakani TUKAZANE
Wa kukazana sio wewe tu!
Akina sie ndiyo twatakiwa tukakazane kwa speed ya Airforce1!
Huoni hapo tumewekwa kwenye washusha Pumba! So far naenda ongeza mkazano , mwakani niwe kwenye washusha Nafaka.