Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
Yani Unazisema Kazi Za Watu Zen Unawacheka Mzee Sio Vzr Mzee kazi Kazi Tuuu
Yani Unazisema Kazi Za Watu Zen Unawacheka Mzee Sio Vzr Mzee kazi Kazi Tuuu
Kakobe ndio muhubir pekeee anayepiga neno hana mbwembwe wala kulembalemba hanaga mahubir ya kupakana mafuta ..Umemsahau Malisa na mkewe, na yule Mchungaji mbunge Viti Maalumu,Kakobe, na yuko mmoja hivi anakanisa pale tabata chama MZEE fulani hivi ana mvimvi. Yote haya majizi tu
Umemsahau mama mwenye mashule ya kishua na bangaloo maeneo ya ushuani kuleGeor Davie ni Nabii wa uongo,Muhuni wa wanawake na Tapeli
Mwamposa ni nabii wa uongo na Tapeli
Lusekelo ni mhuni, chapombe na mpenda pesa
Gwajima ni mpenda pesa, Mwanasiasa na Msanii ila mwenye ujasiri wa kuwatetea watanzania.
SAFINA RADIO ina watumishi wapenda pesa wasio na huruma kwa wamama masikini wanaochukua pesa zao. wa kwanza ni mkurugenzi wao DANIEL LEMA.
Akina manyau nyau na Sheikh sharrif majini ni wasanii wenye majini na ujinga kichwani.
Wengi wao wanarushwa na Channel 10.
Ashakhum si matusi
Wapo efata. mlima wa moto.ufufuo nauzima. Wa upako mpya sasa ipo mwengeWataje
Wote waasi na wapigaji ndio maana wanajaza wanawake zaidi kwa kuwa hawa mama zetu ni dhaifu wa kutafakari mambo kwa kinaUpako mpya?
Kwa wasiojua, Maji na mafuta vitolewayo kwa wingi kwenyee baadhi ya haya makanisa ya mitume feki ni uchawi! Why, Maji hayo baadhi hununua Uganda au Kongo, huko kuna branching za visima vya nabii mmoja Wa nigeria, ili wale wasionapesa ya kuruka Nigeria waende huko kununua, na wengi huvuka na madumu..na huleta makanisani kwao..ndio maana lazima ununue kurudisha gharama!
Pili nguvu ya Maji haya ni kushika akili za waumini..wawe wajinga, hawasikii kitu juu ya Mtumishi, watumwa nk. Maji haya ni uchawi pia..humsaidia mtu shida yake ili amini mungu katenda, na ili muujiza huo udumu lazima aendelee na matumiz ya Maji au mafuta.hapo hana tofauti na anaetumia hirizi ktk mambo yake !
Mwenye kumtegemea mungu hutegemea neno na sio mafuta wala Maji ya upako!

mfano bulldozer anayo hiyo tabia japo yeye anaruhusu muumini kuja na maji yake 'ayafanyie maombi'...angalau hiyo si tatizo ila yale mafuta hapana aiseeKwa wasiojua, Maji na mafuta vitolewayo kwa wingi kwenyee baadhi ya haya makanisa ya mitume feki ni uchawi! Why, Maji hayo baadhi hununua Uganda au Kongo, huko kuna branching za visima vya nabii mmoja Wa nigeria, ili wale wasionapesa ya kuruka Nigeria waende huko kununua, na wengi huvuka na madumu..na huleta makanisani kwao..ndio maana lazima ununue kurudisha gharama!
Pili nguvu ya Maji haya ni kushika akili za waumini..wawe wajinga, hawasikii kitu juu ya Mtumishi, watumwa nk. Maji haya ni uchawi pia..humsaidia mtu shida yake ili amini mungu katenda, na ili muujiza huo udumu lazima aendelee na matumiz ya Maji au mafuta.hapo hana tofauti na anaetumia hirizi ktk mambo yake !
Mwenye kumtegemea mungu hutegemea neno na sio mafuta wala Maji ya upako!
Hapo safina radio napingana na wewe, kama ni msikilizaji mzuri wa safina utajua sadaka yao nyingi inaenda kujengea minara na sio kunufaisha wahudumu au mmiliki wake
Mama Rwakatare pia ni TAPELI mkubwa sana aliyeshindwa kusimamia neno la Mungu linalokataza kuchanganya Mafuta na Maji (Dini na Siasa)Umemsahau mama mwenye mashule ya kishua na bangaloo maeneo ya ushuani kule