Watambue madalali wa shetani

Watambue madalali wa shetani

Geor Davie ni Nabii wa uongo,Muhuni wa wanawake na Tapeli

Mwamposa ni nabii wa uongo na Tapeli

Lusekelo ni mhuni, chapombe na mpenda pesa

Gwajima ni mpenda pesa, Mwanasiasa na Msanii ila mwenye ujasiri wa kuwatetea watanzania.

SAFINA RADIO ina watumishi wapenda pesa wasio na huruma kwa wamama masikini wanaochukua pesa zao. wa kwanza ni mkurugenzi wao DANIEL LEMA.

Akina manyau nyau na Sheikh sharrif majini ni wasanii wenye majini na ujinga kichwani.

Wengi wao wanarushwa na Channel 10.


Ashakhum si matusi
Umekua ennhe
 
Geor Davie ni Nabii wa uongo,Muhuni wa wanawake na Tapeli

Mwamposa ni nabii wa uongo na Tapeli

Lusekelo ni mhuni, chapombe na mpenda pesa

Gwajima ni mpenda pesa, Mwanasiasa na Msanii ila mwenye ujasiri wa kuwatetea watanzania.

SAFINA RADIO ina watumishi wapenda pesa wasio na huruma kwa wamama masikini wanaochukua pesa zao. wa kwanza ni mkurugenzi wao DANIEL LEMA.

Akina manyau nyau na Sheikh sharrif majini ni wasanii wenye majini na ujinga kichwani.

Wengi wao wanarushwa na Channel 10.


Ashakhum si matusi

Yesu aliwalisha watu elfu tano wakala wakasaza .
Nabii Au mtume wa uongo analishwa Na watu elfu tano.
 
Ila kama imekuja mahala ambapo sipo. Mods mmelala??
 
Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa
Hawalishi bali wanalishwa
Hawahudumii bali wanahufumiwa
Kwao kila kitu ni fedha
Mahubiri yao ni utajiri na kutenda miujiza... Wanashindana kwa vitu vya kidunia.. Utajiri, vyombo vya usafiri, (magari boat, meli ndege nk) mavazi ya bei ghali, majumba ya gharama kubwa nknk... Ni watu wasiopitwa na fasheni yoyote
Ni wachoyo na ni wa binafsi wamepiliza! Pesa zao zinazotokana na kuwakamua waumini maskini na wenye uhitaji hawazitumii kwa manufaa ya jamii bali wao wenyewe na watu wao wa karibu
Pamoja na mabilioni wanayomiliki daima utawakuta mitandaoni wakishindana kupost vitu wanavyomiliki vya bei ghali...
Wakiamua kuwekeza pesa zao hizo ni kwenye biashara na kamwe sio kwenye huduma za kijamii kwa wasiojiweza kama lishe elimu afya na vituo vya misaada kwa walemavu yatima na yeyote mwenye uhitaji wowote .. Haya sio yao haya hayawahusu. ..
Watu wa kaliba hii wanaojipenda kujikweza na kupenda kutukuzwa, wapenda Mali na ibada za karamu zilizojaa ukakasi mwingi ni makuwadi wa kuzimu na madalali wa shetani

NB: Niombe radhi kwa wale watakwaza na hii mada
Munguu atujaarie roho wa utambuzi na ufahamu...tuongeze juhudi kulisoma neno la Mungu
 
Umemsahau Malisa na mkewe, na yule Mchungaji mbunge Viti Maalumu,Kakobe, na yuko mmoja hivi anakanisa pale tabata chama MZEE fulani hivi ana mvimvi. Yote haya majizi tu
Inaonyesha ni kwa kiwango gani humjui mtumishi wa Mungu Kakobe. Ndiyo maana namuunga mkono mtoa post kwamba SIYO WOTE. Wewe unakurupuka. Onyesha utajiri wa Kakobe. Acha chuki binafsi. No research, no right to speak.
 
Hao jamaa wapo wengi na ni wasanii kupitiliza, ila wanasaidia watu wengi sana pia japo bila kukusudia. Wengi wa wafuasi wanategemea huduma zao kama therapy sessions. Wapo ambao hujisikia faraja tu kwa kukutumia zile jumbe zinazozunguka kwenye mitandao ziki-demand uzi-forward kwa idadi kadhaa ya watu ili kupokea baraka and what not, so unaweza kupata picha uwepo wa hao jamaa una maana gani kwao.
 
Zote namba hatari

Msimsahau peter nyaga wa rgc miracle tabata katoka kwao kenya kaona tz ndio kuna wajingawajinga wa kumwaga

Afadhali ya Yule Mama, watoto wa kitanzania waNafaidi Matunda yake kupitia elimu japo ni watoto wa matajiri tu
 
Inaonyesha ni kwa kiwango gani humjui mtumishi wa Mungu Kakobe. Ndiyo maana namuunga mkono mtoa post kwamba SIYO WOTE. Wewe unakurupuka. Onyesha utajiri wa Kakobe. Acha chuki binafsi. No research, no right to speak.
Namfahamu vizuri sana kwahiyo usibishe toka anaanzisha kanisa mpaka hapo alipo. Naongea kile ninachokifahamu. Hata hivyo sidhani kama ni kipindi cha mabishano. Rafiki zangu ni wahanga wa Kakobe wapo waliacha kazi na kuuza vitu kwa kile kinachoitwa kazi ya uinjilishaji.
 
Back
Top Bottom