Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Umekua ennheGeor Davie ni Nabii wa uongo,Muhuni wa wanawake na Tapeli
Mwamposa ni nabii wa uongo na Tapeli
Lusekelo ni mhuni, chapombe na mpenda pesa
Gwajima ni mpenda pesa, Mwanasiasa na Msanii ila mwenye ujasiri wa kuwatetea watanzania.
SAFINA RADIO ina watumishi wapenda pesa wasio na huruma kwa wamama masikini wanaochukua pesa zao. wa kwanza ni mkurugenzi wao DANIEL LEMA.
Akina manyau nyau na Sheikh sharrif majini ni wasanii wenye majini na ujinga kichwani.
Wengi wao wanarushwa na Channel 10.
Ashakhum si matusi
Geor Davie ni Nabii wa uongo,Muhuni wa wanawake na Tapeli
Mwamposa ni nabii wa uongo na Tapeli
Lusekelo ni mhuni, chapombe na mpenda pesa
Gwajima ni mpenda pesa, Mwanasiasa na Msanii ila mwenye ujasiri wa kuwatetea watanzania.
SAFINA RADIO ina watumishi wapenda pesa wasio na huruma kwa wamama masikini wanaochukua pesa zao. wa kwanza ni mkurugenzi wao DANIEL LEMA.
Akina manyau nyau na Sheikh sharrif majini ni wasanii wenye majini na ujinga kichwani.
Wengi wao wanarushwa na Channel 10.
Ashakhum si matusi
Munguu atujaarie roho wa utambuzi na ufahamu...tuongeze juhudi kulisoma neno la MunguHawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa
Hawalishi bali wanalishwa
Hawahudumii bali wanahufumiwa
Kwao kila kitu ni fedha
Mahubiri yao ni utajiri na kutenda miujiza... Wanashindana kwa vitu vya kidunia.. Utajiri, vyombo vya usafiri, (magari boat, meli ndege nk) mavazi ya bei ghali, majumba ya gharama kubwa nknk... Ni watu wasiopitwa na fasheni yoyote
Ni wachoyo na ni wa binafsi wamepiliza! Pesa zao zinazotokana na kuwakamua waumini maskini na wenye uhitaji hawazitumii kwa manufaa ya jamii bali wao wenyewe na watu wao wa karibu
Pamoja na mabilioni wanayomiliki daima utawakuta mitandaoni wakishindana kupost vitu wanavyomiliki vya bei ghali...
Wakiamua kuwekeza pesa zao hizo ni kwenye biashara na kamwe sio kwenye huduma za kijamii kwa wasiojiweza kama lishe elimu afya na vituo vya misaada kwa walemavu yatima na yeyote mwenye uhitaji wowote .. Haya sio yao haya hayawahusu. ..
Watu wa kaliba hii wanaojipenda kujikweza na kupenda kutukuzwa, wapenda Mali na ibada za karamu zilizojaa ukakasi mwingi ni makuwadi wa kuzimu na madalali wa shetani
NB: Niombe radhi kwa wale watakwaza na hii mada
Inaonyesha ni kwa kiwango gani humjui mtumishi wa Mungu Kakobe. Ndiyo maana namuunga mkono mtoa post kwamba SIYO WOTE. Wewe unakurupuka. Onyesha utajiri wa Kakobe. Acha chuki binafsi. No research, no right to speak.Umemsahau Malisa na mkewe, na yule Mchungaji mbunge Viti Maalumu,Kakobe, na yuko mmoja hivi anakanisa pale tabata chama MZEE fulani hivi ana mvimvi. Yote haya majizi tu
Nimekuwa kotekote...hata ukija kunikagua...!Umekua ennhe
Zote namba hatari
Namfahamu vizuri sana kwahiyo usibishe toka anaanzisha kanisa mpaka hapo alipo. Naongea kile ninachokifahamu. Hata hivyo sidhani kama ni kipindi cha mabishano. Rafiki zangu ni wahanga wa Kakobe wapo waliacha kazi na kuuza vitu kwa kile kinachoitwa kazi ya uinjilishaji.Inaonyesha ni kwa kiwango gani humjui mtumishi wa Mungu Kakobe. Ndiyo maana namuunga mkono mtoa post kwamba SIYO WOTE. Wewe unakurupuka. Onyesha utajiri wa Kakobe. Acha chuki binafsi. No research, no right to speak.



Ila ukiwa na shida ndo una waaminiMimi nachukia watu wanaotoa huduma za Mungu halafu wanaweka hela mbele tena kwa kusema kabisa huwa siwaamini hata siku moja