Wataliban wa Mbagala basi wakiona hii picha wanapepesuka balaa

Wataliban wa Mbagala basi wakiona hii picha wanapepesuka balaa

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,936
Reaction score
3,940
20250708_083810.jpg
 
Hakuna mtu wa jihad anaogopa 🤣🤣🤣watu wanapigania ili wafe ...Kaangalie huko Houthis wala mirungu wanapeleka moto ..
 
Embu tupia picha ya wachunga Mbuzi wa Afghanistan, muone huyo Trump kama hajapagawa
 
Shobo dundo kwa watu wasio na time nawe… WAGALATIA wenzenu wanatemewa hadi mate huko.. 🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣

Wanajihadi wakiona hii duo huwa wanaota usiku ndoto za majini majini

🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom