Nikiwa kama miongoni mwa raia tunaopambana nje ya mfumo rasmi nimefikiria kuwekeza kwenye mfuko wa amana za serikali wa UTT AMIS kwenye scheme ya BOND TRUST FUND ambayo itanipa gawio la kila mwezi. Mfuko huu ili kupata gawio la kila mwezi kiwango cha chini cha uwekezaji ni milioni 10.
Lengo la kuwekeza ni kujitengenezea malipo yangu ya pension ya uzeeni. Nina mpango mpaka ninapofikisha 5th floor niwe nimewekeza kiasi cha milioni 90 ambayo itanipa gawio si chini ya laki 8 kwa mwezi kama pension yangu ya kunisaidia uzeeni. Kazi yangu sio pensionable.
Swali langu: Wasiwasi wangu ni hiki chama chakavu Ccm kutokana na mwenendo wake wa kuchota pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, hawawezi kuja kuchota pesa kwenye huu mfuko wa UTT na kuufilisi kiasi ukashindwa kutulipa sisi wawekezaji wake?
Wabobezi, wataalamu nimeweka kambi kusikia kutoka kwenu.
Lengo la kuwekeza ni kujitengenezea malipo yangu ya pension ya uzeeni. Nina mpango mpaka ninapofikisha 5th floor niwe nimewekeza kiasi cha milioni 90 ambayo itanipa gawio si chini ya laki 8 kwa mwezi kama pension yangu ya kunisaidia uzeeni. Kazi yangu sio pensionable.
Swali langu: Wasiwasi wangu ni hiki chama chakavu Ccm kutokana na mwenendo wake wa kuchota pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, hawawezi kuja kuchota pesa kwenye huu mfuko wa UTT na kuufilisi kiasi ukashindwa kutulipa sisi wawekezaji wake?
Wabobezi, wataalamu nimeweka kambi kusikia kutoka kwenu.