Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
- Thread starter
- #701
Haya namtoa 😂 😂Nachoka mimi 😂
Kama ni kaka tu, basi umepata, uzuri anaweza kupiga kote kote 😂Nachoka mimi 😂
Haya namtoa 😂 😂Nachoka mimi 😂
Kama ni kaka tu, basi umepata, uzuri anaweza kupiga kote kote 😂Nachoka mimi 😂
Huko kote kote ndio wapHaya namtoa 😂 😂
Kama ni kaka tu, basi umepata, uzuri anaweza kupiga kote kote 😂
Mi huwa nawaza saazingine kukutafuta nikuone live ulivyo ili nikuthamanishe mkuu.Nimewamiss wanajukwaa.
Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story!
- Je wajua kwamba wanawake wana kiungo kimoja mwilini ambacho kazi yake ni kusikia raha tu na hakina kazi nyingine yoyote? Kama unakijua kitaje na utuambie wewe huwa unakishughulikiaje?
- Nifundishe kitu ambacho unahisi nitakua sikifahamu.
- Ukitaka mwenzako aje kwako au awahi kurudi nyumbani kwa sababu unataka akupe mambo, huwa unamuambiaje?
Mie nina 2 ambazo hazijawahi kufeli; Baba ……. urudi mapema leo nina hamu na wewe & mpenzi leo nimepika ……… ila uje kwanza kunila mpishi, niko kitandani nakusubiri.
- Kitu gani ulishawahi kukishuhudia kwa macho na hutakisahau kamwe?
- Ushawahi kukutana na maumbile ya binadamu yakakushangaza? ilikuwaje?
- Kama kawaida: niulize swali lolote nitakujibu!
View attachment 3575053
Kwamba?Kama ni kaka tu, basi umepata, uzuri anaweza kupiga kote kote 😂
😂Kwamba?
Kama kaka wa familia na kama mkaka anayetaka mtengeneze familia 😂Huko kote kote ndio wap
Hii ndo yenyewe 😎mkaka anayetaka mtengeneze familia 😂
Hakunaaaa😂
Kama kaka wa familia na kama mkaka anayetaka mtengeneze familia 😂
Yenye antena!Unatumia ya aina gani
Ndio nipo hapa nasubiri mtetezi wangu😅ShesRise_1 , win-one , Seran , Mallerina mjitahidi na nyinyi kwenye maisha mpate wakaka watetezi kama huyu.
Usije ukala ban jamani, huogopi!! Wachie trauma zao wahangaike nazo wenyewe uwenda wakapata amani wakatulia.Nitamtetea kwa nguvu na maarifa. Nimesema nipo kwa ajili ya kudefend lakini huyu member lamomy analazimisha niwe offensive nikianza kuwa offensive tusilaumiane hajui mimi nina resources zipi za kuwakabili, hajui acha aendelee
Depal popote ulipo nipe ruhusa niwe offensive kwa huyu member lamomy ili awe mfano
Akikwambia ni naniUsije ukala ban jamani, huogopi!! Wachie trauma zao wahangaike nazo wenyewe uwenda wakapata amani wakatulia.
Good morning lkn!
Uniambie we ni nani kaka mtu 💪
🥰🥰 Thank You kaka mzuri.. Mti wenye matunda 😁😁🙏I like Depal because:
- She's very smart
- She's humble
- She's intelligent
- She can survive hard things
- She's honest and genuine
- She's resilient
- She's beautiful
Depal you are such a smart cookie. You're awesome. Keep going......🔥🔥
😂😂 Ngoja aje kama ana mdogo au binamu akupee mwayaAkikwambia ni nani
Muulize kama ana ndugu yake
Na mimi nataka kaka wa hiari kama yeye
Nitashukuru 😍😂😂 Ngoja aje kama ana mdogo au binamu akupee mwaya
Kuna nini? 😀
Siamini mjukuu kama hatuna imani kiasi hiki na Wazee 😂Mzee nimeanza kukuogopa
Fake P 😹😹😹I like Depal because:
- She's very smart
- She's humble
- She's intelligent
- She can survive hard things
- She's honest and genuine
- She's resilient
- She's beautiful
Depal you are such a smart cookie. You're awesome. Keep going......🔥🔥
Babu yangu 💔Siamini mjukuu kama hatuna imani kiasi hiki na Wazee 😂
Unachamba umbea mwanetu 😹😹😹Kwao mbagala kwa nini anapiga picha hotelin. Sijawahi kujua kuwa kama kwenu mbagala hutakiwi kwenda hotelini kunywa hata maji. (Akili za kizamani na kimaskini hizi)
Bora yeye kwao mbagala, ni mamilioni wangapi kwao ni vijijini huko lakini wameweza kuishi dream life yao?
Ndoa hataipata - haya ni maneno ambayo mtu hutamka kwa kujipa umailaika. Nani anaijua kesho? Wangapi wenye influence kubwa wenye pesa nyingi lakini ndoa ilishindikana? Yeye ikitokea kwa nini iwe ajabu? Alafu wanaosema hivi wao hiyo ndoa hawana
Alichompangia Mungu ndio kitatimia. Naamini atakua bora sana zaidi ya jana na leo.(Isaya 41:10)