Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,545
- 7,620
😹😹😹😹 Jmosi kuna ubatizo wa maji mengi au wa moto?Jumamosi sio mbali😘
😹😹😹😹 Jmosi kuna ubatizo wa maji mengi au wa moto?Jumamosi sio mbali😘
Kama unaweza kuachwa akakubaliwa yeye unafikiri hapo tatizo nani? Aliyeachwa au aliyekubaliwa? Wewe unaachwa alafu anakubaliwa yeye, jitafakari uliyeachwa sio yeye aliyekubaliwaUnajua kwann?
Sababu yeye ndo kivuruge wa mahusiano ya watu.
Alianzia kwa
Antonia
Coca
Fake P
Sasa hapo atapata vipi kinyongo?
🙆♀️🤣🤣🤣🤣 hee kweli JF ni kichakaKuna id ilikuwa inaandamwa ya kiume kumbe ni kweli bana na ina mkoti mwingine inajiita mzee wa resources, kmmk JF kuna mambo mengi sana..!! 😹😹😹
Yani JF vituko haviishi ndioamana nasema humu hata mtu akikuomba ushosti na kutaka mjuane MKATALIE ndo km hivi..!!🙆♀️🤣🤣🤣🤣 hee kweli JF ni kichaka
Naona unajitoa ufahamu mwenyewe 😹😹😹Unamaanisha mimi ni depal? Mnaendelea kuwa wajinga hadi lini? Nimetoka kukuuliza hivi mnavyoandika unafikiri yeye depal anawaonaje? Si ndio atazidi kujua hampo timamu
Nimechoka na kuishiwa pawa 😅😀Yani JF vituko haviishi ndioamana nasema humu hata mtu akikuomba ushosti na kutaka mjuane MKATALIE ndo km hivi..!!
Siku zote tunaamini watu ni wanawake kumbe madume..!! 🤣😹😹😹
Vitu vtatu vinavyomtambulisha mtu mjinga:Siuzidi wako.
Bado hujachoka subiri utaendelea kujiona mengi humu..!! 😹😹Nimechoka na kuishiwa pawa 😅😀
Love you too babes 🤗 💕Love you sis😍
Kazi wapi nahangaika tuu..Hivi wewe siku izi umepata kazi mbona umekua adimu😏
Safii👍Kazi wapi nahangaika tuu..
Kila siku nipo humu sema ndo hvo kuna mshangazi humu kasema nisiwe na comment sana anakereka
Wamama wana wivu
Mwanangu, mishangazi inataka kukuweka mbali na familia, nimesikitika sana!Kazi wapi nahangaika tuu..
Kila siku nipo humu sema ndo hvo kuna mshangazi humu kasema nisiwe na comment sana anakereka
Wamama wana wivu
Safi ya nini.Safii👍
Kumbe hupendi hiyo hali ?Safi ya nini.
Mi nateseka nahitaji niwe nachangamana na wenzangu ka zamani..
Hapa sahv hayupo ila akija tuu kazi inaanza ""kwann unaandika ujinga,,""
mambo kibao
Acha kabisa ..Mwanangu, mishangazi inataka kukuweka mbali na familia, nimesikitika sana!
Hamna sijameza...Kumbe hupendi hiyo hali ?
Umejaribu kumeza blufen ?
Huo mshangazi sio mda uta ku R I P
Nikushauri kitu?😎Hamna sijameza...
Ila kuna jambo moja tafanya aiseee we sbr tuu haiwezekani wakati tumekutana humu humu 😂
Kwahiyo hatimaye umejibebea mshangazi JF 😂Acha kabisa ..
Alafu anasema " kama huwezi sawa hayo ndo maisha yako ila mimi staki habari zako za kujichekesha kule jf staki ,"""
Nasemaga sawa nimeelewa nachukua siku nacheza gemu
Tell me...Nikushauri kitu?😎