Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Unajua kwann?
Sababu yeye ndo kivuruge wa mahusiano ya watu.

Alianzia kwa
Antonia
Coca
Fake P

Sasa hapo atapata vipi kinyongo?
Kama unaweza kuachwa akakubaliwa yeye unafikiri hapo tatizo nani? Aliyeachwa au aliyekubaliwa? Wewe unaachwa alafu anakubaliwa yeye, jitafakari uliyeachwa sio yeye aliyekubaliwa
 
Kuna id ilikuwa inaandamwa ya kiume kumbe ni kweli bana na ina mkoti mwingine inajiita mzee wa resources, kmmk JF kuna mambo mengi sana..!! 😹😹😹
🙆‍♀️🤣🤣🤣🤣 hee kweli JF ni kichaka
 
🙆‍♀️🤣🤣🤣🤣 hee kweli JF ni kichaka
Yani JF vituko haviishi ndioamana nasema humu hata mtu akikuomba ushosti na kutaka mjuane MKATALIE ndo km hivi..!!

Siku zote tunaamini watu ni wanawake kumbe madume..!! 🤣😹😹😹
 
Unamaanisha mimi ni depal? Mnaendelea kuwa wajinga hadi lini? Nimetoka kukuuliza hivi mnavyoandika unafikiri yeye depal anawaonaje? Si ndio atazidi kujua hampo timamu
Naona unajitoa ufahamu mwenyewe 😹😹😹
 
Yani JF vituko haviishi ndioamana nasema humu hata mtu akikuomba ushosti na kutaka mjuane MKATALIE ndo km hivi..!!

Siku zote tunaamini watu ni wanawake kumbe madume..!! 🤣😹😹😹
Nimechoka na kuishiwa pawa 😅😀
 
giphy 17.GIF
 
Acha kabisa ..
Alafu anasema " kama huwezi sawa hayo ndo maisha yako ila mimi staki habari zako za kujichekesha kule jf staki ,"""
Nasemaga sawa nimeelewa nachukua siku nacheza gemu
Kwahiyo hatimaye umejibebea mshangazi JF 😂
Hongera, hupoi mtoto wangu!
 
Back
Top Bottom