Kaka wa Dep_AL
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 711
- 1,113
Mimi kichaa? Uzuri kuna kanuni zinatuongoza kabla ya kufanya maamuzi hatutakiwi kukurupukaNjoo tulewe we kichaa 😹😹
Kanuni ni collecting, analyzing and disseminating of info. Hizi zote lengo sio kuja kuanza kushambulia bali kuongoza kufanya maamuzi, baada ya maamuzi ndio kushambulia hufuata. Ndio maana nasema nipo kudefend sijaanza kuwa offensive