Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Usije ukala ban jamani, huogopi!! Wachie trauma zao wahangaike nazo wenyewe uwenda wakapata amani wakatulia.

Good morning lkn!
Uniambie we ni nani kaka mtu 💪
Fake P eti una trauma 😹😹😹

Kamanda unatukanwa sana, unakubali vipi hizi dharau?

Bibie nasikia na wewe una kitu uko piemuni 😹😹
 
Usije ukala ban jamani, huogopi!! Wachie trauma zao wahangaike nazo wenyewe uwenda wakapata amani wakatulia.

Good morning lkn!
Uniambie we ni nani kaka mtu 💪
Nimekuelewa. Mimi ni mfu ambae nakukubali, sio mimi tu wapo wengi ambao wanaweza kusema au wakakaa kimya lakini jua hata atokee mtu akuchukie kwa kiasi gani basi jua wapo wengi wanaokupenda na hawatakubali kuona jambo lolote baya likikupata

Mimi ni mtu ambae siwezi kukubali kuona jambo lolote baya likikupata au Jambo lolote baya likisemwa
 
Anatakiwa kujua hata umchukie mtu vipi basi wapo wengi wataoendelea kumpenda. Hakuna neno lolote liitalobadilisha upendo wao kwake. We love depal, we will protect her
Sema sheikh kazi yako ngumu..!!
Yani una switch id hii unashusha daily news then unarudi tena kwa id hii unachamba umbea..!! 😹😹😹
 
Unafikiri yeye akisoma hivi mnavyoandika ndio anazidi kuwadharau lakini anasame. Tumieni uwezo wenu kidogo wa kufikiria
Depal anidharau mimi? 😹🤣🤣
Mtu ambaye hii mara ya tatu humu wanagombea wanaume na wake wenzie!??

Sasa kama hapa JF hivi uko nje hali ikoje?
Hebu acha kunifananisha na milupo sheikh..!!

Wewe pambania chiu tu.!!
 
Umeona utofauti wa Depal, Hakuna alipochukia amechukulia kawaida wote waliomsema na amewasamehe wala hana kinyongo
Unajua kwann?
Sababu yeye ndo kivuruge wa mahusiano ya watu.

Alianzia kwa
Antonia
Coca
Fake P

Sasa hapo atapata vipi kinyongo?
 
Depal anidharau mimi? 😹🤣🤣
Mtu ambaye hii mara ya tatu humu wanagombea wanaume na wake wenzie!??

Sasa kama hapa JF hivi uko nje hali ikoje?
Hebu acha kunifananisha na milupo sheikh..!!

Wewe pambania chiu tu.!!
Kudharaulika hakuna mipaka, kila mtu anachoongea au kuandika hufanya pia adharaulike
Nimekuambia kuhusu depal huo uzushi na uongo mnaoandika hautafanya kazi mnajisunbua bure tu. Ndio maana umeona ata mwenyewe kasamehe wala hana tatizo na yoyote
 
Back
Top Bottom