Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
- Thread starter
- #541
Eti anaumwa 😂Anazikubali, hilo wala sina hofu. Akikaa kidogo bila kuzichezea anaumwa kabisa😅
Eti anaumwa 😂Anazikubali, hilo wala sina hofu. Akikaa kidogo bila kuzichezea anaumwa kabisa😅
Hii ni nini?Papasa mpira papasa kishimo weka
Hiyo mimi siijui 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Mie kwakweli nipewe tu elimu ya pesa.
Weeeeeh! Kumbe uko hai🤣🤣🤣Hivi unataka kusemaje, na unajua kabisa sijamalizana uzuri na Evelyn Salt ?
🤣🤣🤣 hunifai.Hiyo mimi siijui 😂
View attachment 3576349
Sina meno mjukuu wangu, kiinua mgongo kimeisha.Nasubiri part 2 ya mtanange, ila mpaka sasa team yenu inaongoza goli 5 - 0
😄 😆 kila babu humu ana mjukuu anamfunua, sasa ukionekana unamkaribia lazima uparuliwe.
Wapo wanazoom vibabu vyao kimya kimya 😆
Hebu mjaribu Equation x kuna kipindi alikua anatafuta kabinti ka kumchezea sharubu.
mmmh mi mbona nipo jamaniSafi kabisa kipenzi.
Ulipotelea wapi?
Hii ni kucheza golf kaizer haujawahi cheza golf?Hii ni nini?
Bora umekuja nmesikia umestaafu march....nakutafuta sana nimekumiss nakupenda sana 😂😂😂 zingatia neno kustaafu.Hivi unataka kusemaje, na unajua kabisa sijamalizana uzuri na Evelyn Salt ?
Siyo kila siku hela, jilegeze mwanamke 😂🤣🤣🤣 hunifai.
Ilikua noma, hebu wape summary kidogo nao wasibaki nyuma!Vijana wa 2000 hamkupita kwenye hili darasa!
View attachment 3575880
Kwisha habari yako 😂 😂Sina meno mjukuu wangu, kiinua mgongo kimeisha.
Salamalekoo dada🤣🙌Kwisha habari yako 😂 😂
Salamalekoooooooooo binti 😂Salamalekoo dada🤣🙌
Mie nae kulala mapema ðŸ˜Salamalekoooooooooo binti 😂
Darkness haijawahi kushinda light hata siku moja ðŸ¤
Cc: Kaka wa Dep_AL
Kwahiyo jana mlikuwa mnaripoti tupewe ban? 😹😹😹Salamalekoooooooooo binti 😂
Darkness haijawahi kushinda light hata siku moja ðŸ¤
Cc: Kaka wa Dep_AL
Kumbe kuna u team lol 😆Kwahiyo jana mlikuwa mnaripoti tupewe ban? 😹😹😹
Nyie wenye team zenu mlitakiwa mtulie upande pinzani naye atoe yake. Mbona waoga?
Sisi tulitaka wote wafunguke km nyie mlivyofunguka na hamkuripotiwa ban.
Fake P naye alitakiwa ajitetee ndio kanuni ya mchezo.. mmebeba mpira mmekimbia nao ndo nini sasa??
Vitu vilitaka kuwekwa clear tunashangaa wambea tumeombewa ban kutoka team Depal 😹😹😹Mie nae kulala mapema ðŸ˜
Ona sasa majirani zangu wamepigwa ban hata hatujaagana 🙌🙌🙌
Huyu kaka veep
We Lamomy nyokooooo nimekujua 🤣🤣 hili koti ni lakoVitu vilitaka kuwekwa clear tunashangaa wambea tumeombewa ban kutoka team Depal 😹😹😹
Jamani tukirudi tunaomba mchezo uwe fair tuache wahusika wapambane..!!
Wambea hatuna team sisi kote tunapiga 🤣
Binti wa zamani team D anaogopa makombora 😹😹😹Kumbe kuna u team lol 😆