Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Hadi kumfunda nimemfunda jinsi ya kumkatikia bwana ili asirudi kwa D ila bado kakaza fuvu 🙌 sina msaada nae

D ashikilie hapo hapo awamu apande juu ya dirisha alirukie kabisa🍆
😹😹😹 Na mimi nifunde..!!

Ila vita ya mboroko ni kali sana
 
Wajukuu huruma hawana 😂
Kabisa, yaani bila kuwa na blanketi mbili mbili, baridi litatumaliza wazee
Unakazana kumwambia mjukuu "kachezee chezee kidogo" ila bado ngoma inagoma 😂 😂 ndiyo maana sisi mashangazi tunawakimbia wazee wenzetu.
Yaani we acha tu, lakini kwa kuimbiwa na maiki huwa tunasimama simama japo kidogo....hutaki tukumbushane hadithi za mwaka 47

Kuweni na huruma na wazee 😜
Pasi gani tena we mzee, hebu usinichoshe 😂
Usiku mrefu mjukuu 😜
 
Alooooooooo
Humu tu🔥🔥🔥🔥
200 5.GIF



Binti wa zamani
Huyo mpuuzi mbona kila mtu humu anjua kama ni mtu wa baka baka anahisi ni siri😅😅😅😅😅😋
Hiyo siyo siri, hata mimi hilo najua na siyo mfuatiliaji kivile wa issue ambazo hazina midinyano 😂!
 
Mahi naona huyo kaka umemuelewa, panga foleni, inawezekana akawamudu wote 😂
Huyo lazima tumuonje mjeda tena..!! 😹😹
Wana pumzi hao na akipaka na vumbi weeh mwaka mzima unakaa bila kuguswa shughuli yake..!! 😹😹😹

Weeh bana mi nachachua uzi hapa usidode mpk wahusika warudi kwa mtanange mwingine..!!
 
Back
Top Bottom