Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Nimewamiss wanajukwaa.
Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story!

  1. Je wajua kwamba wanawake wana kiungo kimoja mwilini ambacho kazi yake ni kusikia raha tu na hakina kazi nyingine yoyote? Kama unakijua kitaje na utuambie wewe huwa unakishughulikiaje?

  2. Nifundishe kitu ambacho unahisi nitakua sikifahamu.

  3. Ukitaka mwenzako aje kwako au awahi kurudi nyumbani kwa sababu unataka akupe mambo, huwa unamuambiaje?
    Mie nina 2 ambazo hazijawahi kufeli; Baba ……. urudi mapema leo nina hamu na wewe & mpenzi leo nimepika ……… ila uje kwanza kunila mpishi, niko kitandani nakusubiri.

  4. Kitu gani ulishawahi kukishuhudia kwa macho na hutakisahau kamwe?

  5. Ushawahi kukutana na maumbile ya binadamu yakakushangaza? ilikuwaje?

  6. Kama kawaida: niulize swali lolote nitakujibu!

    View attachment 3575053
Wewe siku ukipata minyege ndo unaileta humu Sasa unatafta wa kukukuna
 
😂😂😂

Wazee tuna mbinu na ujuzi, naweza kumchosha mpinzani wangu kwa dakika 25 then nami nikatumia sekunde 29 kumaliza safari yangu 😜
Basi kama wazee mko vizuri kwenye kutumia viungo vingine, wajukuu hawataleta malalamiko
 
Back
Top Bottom