Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,545
- 7,620
Mi sijifichi babes 😹😹We Lamomy nyokooooo nimekujua 🤣🤣 hili koti ni lako
Hili koti linajulikana mbona mahi.
Mi sijifichi babes 😹😹We Lamomy nyokooooo nimekujua 🤣🤣 hili koti ni lako
Vitu vilitaka kuwekwa clear tunashangaa wambea tumeombewa ban kutoka team Depal 😹😹😹
Jamani tukirudi tunaomba mchezo uwe fair tuache wahusika wapambane..!!
Wambea hatuna team sisi kote tunapiga 🤣
Binti wa zamani et ni kweli🤣🤣Binti wa zamani team D anaogopa makombora 😹😹😹
Imeniuma sana wambea tuna shida gani mpk tupewe ban?
Alooo kwahiyo una lilia kuona kipapa cha D 🙌😜😅Mi sijifichi babes 😹😹
Hili koti linajulikana mbona mahi.
Tunataka mchezo uwe fair wote watoe madukuduku yao. 😹😹😹Alooo kwahiyo una lilia kuona kipapa cha D 🙌😜😅
Mi naogopa kuona kipapa cha mtuTunataka mchezo uwe fair wote watoe madukuduku yao. 😹😹😹
Na kipapa km kipo fureeeshhh si ndo vizuri mpambano unanoga..!! 🤣
Weka chako tukione kwanzaTunataka mchezo uwe fair wote watoe madukuduku yao. 😹😹😹
Na kipapa km kipo fureeeshhh si ndo vizuri mpambano unanoga..!! 🤣
Nipo hapa dada mtuSalamalekoooooooooo binti 😂
Darkness haijawahi kushinda light hata siku moja ðŸ¤
Cc: Kaka wa Dep_AL
Jf ni jukwaa linaloheshimika sio kijiwe cha kuja kuzogoa uzushi na uongo. Sitakubali uzushi wowote dhidi ya depall. Nitawazuia kwa nguvu kubwa. HamtawezaKwahiyo jana mlikuwa mnaripoti tupewe ban? 😹😹😹
Nyie wenye team zenu mlitakiwa mtulie upande pinzani naye atoe yake. Mbona waoga?
Sisi tulitaka wote wafunguke km nyie mlivyofunguka na hamkuripotiwa ban.
Fake P naye alitakiwa ajitetee ndio kanuni ya mchezo.. mmebeba mpira mmekimbia nao ndo nini sasa??
Iwe team iwe jeshi iwe group iwe whatever. Hamtaweza kuleta uzushi dhidi ya depall tukawaangalia. Tutawakabili kwa nguvuBinti wa zamani team D anaogopa makombora 😹😹😹
Imeniuma sana wambea tuna shida gani mpk tupewe ban?
Huna jeuri hiyo zaidi ya kujiliza kwa mods.Jf ni jukwaa linaloheshimika sio kijiwe cha kuja kuzogoa uzushi na uongo. Sitakubali uzushi wowote dhidi ya depall. Nitawazuia kwa nguvu kubwa. Hamtaweza
Nawapa onyo. Kwa sasa nipo kwa ajili ya kuzuia nitapoanza kuwa offensive msije kunilaumuu
Hongera kaka na mimi natafta kaka wa kunilindaJf ni jukwaa linaloheshimika sio kijiwe cha kuja kuzogoa uzushi na uongo. Sitakubali uzushi wowote dhidi ya depall. Nitawazuia kwa nguvu kubwa. Hamtaweza
Nawapa onyo. Kwa sasa nipo kwa ajili ya kuzuia nitapoanza kuwa offensive msije kunilaumuu
Kama uzushi si ungetulia sasa kwann unajiliza? Ban ndo mkombozi wenu..!! Pyeee 😹😹😹Iwe team iwe jeshi iwe group iwe whatever. Hamtaweza kuleta uzushi dhidi ya depall tukawaangalia. Tutawakabili kwa nguvu
Kwan ilikuaje jana mpka kufikia hapaKama uzushi si ungetulia sasa kwann unajiliza? Ban ndo mkombozi wenu..!! Pyeee 😹😹😹
Pia usisahau sio jukwaa la wauza mbunye hili weka sawa..!! 😹😹😹Jf ni jukwaa linaloheshimika sio kijiwe cha kuja kuzogoa uzushi na uongo. Sitakubali uzushi wowote dhidi ya depall. Nitawazuia kwa nguvu kubwa. Hamtaweza
Nawapa onyo. Kwa sasa nipo kwa ajili ya kuzuia nitapoanza kuwa offensive msije kunilaumuu
😹😹😹 changu sio cha maonyesho..!!Weka chako tukione kwanza
Ukiweza lia ukiweza nuna ukiweza jinyonge Ila sitakubali uzushi wowote dhidi yake. PeriodKama uzushi si ungetulia sasa kwann unajiliza? Ban ndo mkombozi wenu..!! Pyeee 😹😹😹
Nenda selfika ukasome 😹😹Kwan ilikuaje jana mpka kufikia hapa
Bado hujasema, yajayo yanafurahisha…!! 😹😹Ukiweza lia ukiweza nuna ukiweza jinyonge Ila sitakubali uzushi wowote dhidi yake. Period
Mimi sina timu, ila sipendi bullying na niliona huyo dada alikukosea sana kukuvamia.Binti wa zamani et ni kweli🤣🤣
Wao sababu zao wanazojua wao wanamchukia basi wanataka kila mtu amchukie bila kujua tupo wengi tunaompenda. Hawataweza, tutamlinda iwe kwa nguvu au kwa njia yoyoteHongera kaka na mimi natafta kaka wa kunilinda