Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wao sababu zao wanazojua wao wanamchukia basi wanataka kila mtu amchukie bila kujua tupo wengi tunaompenda. Hawataweza, tutamlinda iwe kwa nguvu au kwa njia yoyote
Hivi unajua kama mimi nilikua natukanwa sana nikifananishwa nae na mpka leo huyo P ana ng'ang'ania et mi Depal aisee humu ndani kuna upuuzi mwingi
 
Wao sababu zao wanazojua wao wanamchukia basi wanataka kila mtu amchukie bila kujua tupo wengi tunaompenda. Hawataweza, tutamlinda iwe kwa nguvu au kwa njia yoyote
Mbona tukimsapoti hubweki? 😹
Sisi tuko neutral hata huyo D naye alimbully Antonia na wakamdhalilisha..!!

Sasa hivi zamu yake cha kumshauri atie maji mapema kichwa chake mana Fake P anakuja kupitisha topaz 😹🤣🤣🤣
 
Nenda selfika ukasome 😹😹

Sisi tukimtetea D team yao wanafurahi, ila tukianza kumsikiliza fake P ndo km hivyo wanaume mabinti wanajitokeza kuja kuvuruga..!! 😹
Mimi sioni kama kuna shida ila huyo P yeye anaingiza mpa issue za wazazi ndio anapo haribu na kuanza kuanika picha za mwenzie
 
Mimi sina timu, ila sipendi bullying na niliona huyo dada alikukosea sana kukuvamia.
Mahi team unayo bana 😹😹😹

Huyo D yeye mwenyewe alimbully tonia na picha wakatuma humu labda km unajizima data au hujui..!!

Ugomvi wa wake wenza sisi tuwe watazamaji
 
Mimi sioni kama kuna shida ila huyo P yeye anaingiza mpa issue za wazazi ndio anapo haribu na kuanza kuanika picha za mwenzie
Vita haina macho na haichagui silaha babes 😹😹

Wao waache wachambane mume wao atakuja kuwagombelezea. Kwanza hao walikuwa mashosti na walikaa vikao vingi kutusema..!! Ko wanavyopopoana ni malipo wanapokea..!! 😹😹😹
 
Mbona tukimsapoti hubweki? 😹
Sisi tuko neutral hata huyo D naye alimbully Antonia na wakamdhalilisha..!!

Sasa hivi zamu yake cha kumshauri atie maji mapema kichwa chake mana Fake P anakuja kupitisha topaz 😹🤣🤣🤣
Andika yote ujifurahishe lakini huo uwezo hamna. Tutawazuia kwa nguvu hilo wekeni kwa kichwa, hiki sio kijiwe cha uzushi
 
Vita haina macho na haichagui silaha babes 😹😹

Wao waache wachambane mume wao atakuja kuwagombelezea. Kwanza hao walikuwa mashosti na walikaa vikao vingi kutusema..!! Ko wanavyopopoana ni malipo wanapokea..!! 😹😹😹
Shoga kumbe wanajuana njee ndani heh🙌
 
Shoga kumbe wanajuana njee ndani heh🙌
Wanajuana kindakindaki hata mimi huyo D alikatazwa na fake p asinikwoti walijadiliana hayo yote pm..!! 😹😹😹

Huo ni ugomvi wa wake wenza na mashosti nashangaa hata watu wengine wanavyohuzunika nao..!! 😹😹

Hao sisi tunataka wayatoe yote ya huko kwenye bunge lao. Ndiomana sisi hatuna team tunaset mzani u balance
 
Mahi team unayo bana 😹😹😹
Mahi niache 😂
Huyo D yeye mwenyewe alimbully tonia na picha wakatuma humu labda km unajizima data au hujui..!!

Ugomvi wa wake wenza sisi tuwe watazamaji
Wanasema usimpige teke mtu ambaye tayari yuko chini (Don't kick someone when they're down).
Hata kama ana mapungufu yake, we unaona ni sawa kuanza kumtukania mzazi wake ambaye ndiyo kwanza amefariki?
 
Wanasema usimpige teke mtu ambaye tayari yuko chini (Don't kick someone when they're down).
Hata kama ana mapungufu yake, we unaona ni sawa kuanza kumtukania mzazi wake ambaye ndiyo kwanza amefariki?
Vita haina macho na haichagui silaha wameyataka wenyewe kupeana maisha yao halisi. Hao wanajuana ni mtu na shosti ake kitambo.

Na huyo D mbona yeye pia alimbully Antonia na akamdhalilisha hamkuona km ile ni bullying?

Ugomvi wa wake wenza na mashosti tuwaache wenyewe wamalizane..!!

Wangetaka wangeyamaliza huko pm walikoanzia mpk wameleta huku wanataka kutuonyesha vilivyojificha..!! 😹😹
 
Wanajuana kindakindaki hata mimi huyo D alikatazwa na fake p asinikwoti walijadiliana hayo yote pm..!! 😹😹😹

Huo ni ugomvi wa wake wenza na mashosti nashangaa hata watu wengine wanavyohuzunika nao..!! 😹😹

Hao sisi tunataka wayatoe yote ya huko kwenye bunge lao. Ndiomana sisi hatuna team tunaset mzani u balance
We binti sayuni huachiiii😆
Sasa kwanini wakaniingiza
 
Kwahiyo jana mlikuwa mnaripoti tupewe ban? 😹😹😹

Nyie wenye team zenu mlitakiwa mtulie upande pinzani naye atoe yake. Mbona waoga?
Sisi tulitaka wote wafunguke km nyie mlivyofunguka na hamkuripotiwa ban.

Fake P naye alitakiwa ajitetee ndio kanuni ya mchezo.. mmebeba mpira mmekimbia nao ndo nini sasa??
Sijawahi kuripoti mtu, F alitangaza muda wa mechi, naona mödzz nao wakapiga kambi hapo.
Wewe una moto sana wa umbea mwanakwetu, utakuja kupigwa ban na huku 😂 😂
 
Jf sio kijiwe cha hizo story za kutunga. Kama unazipenda sana undeni group whatsaap mpigishane hizo story mkimakiza mjipe kombe
Hakuna story za kutunga, urafiki ulianzia JF na ugomvi pia utamalizwa hapa hapa JF

Wewe ikikuuma meza wembe
 
Back
Top Bottom