ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,748
- 127,720
Hahahaha, Binti wa zamani !!Papasa mpira papasa kishimo weka
Hahahaha, Binti wa zamani !!Papasa mpira papasa kishimo weka
Sijui na akirudi mgomvi wake atamkuta 😁Yani dada kaumbuka vibaya, sijui hata atarudi na comeback gani 😂
Basi waniachie babu mmoja ni cheze nae🏃♂️🏃♂️Yule anayejiitaga babu 😂
Ndiyo maana, arrrooooooh hasira za ovulation halafu usipate ukuni 🥵🥵🥵🥵Amenikuta na mood off today tokea nikiwa church sikua na mood nzuri
Mala nyingi hua na escape ugomvi kwa kujishusha ila leo amenikuta nipo kipindi cha ovulation nataka 🍆🍆🥝
Aiseeeh, nimesoma mpaka kaumbile kakashtuka 😆😄Hahahaha, Binti wa zamani !!
Evelyn ni mtaalam sana, na hivi libido yake haijawahi kumwangusha😅😅😅Aiseeeh, nimesoma mpaka kaumbile kakashtuka 😆😄
😁😁 we saivi si utakua mzee jamani huna hisia tena hutaki nikusaidie kukokota hilo gari la mkoloni et AtotoBinti kaa mbali na mume wangu, nitakutoa busha.
Nasubiri part 2 ya mtanange, ila mpaka sasa team yenu inaongoza goli 5 - 0Sijui na akirudi mgomvi wake atamkuta 😁
😄 😆 kila babu humu ana mjukuu anamfunua, sasa ukionekana unamkaribia lazima uparuliwe.Basi waniachie babu mmoja ni cheze nae🏃♂️🏃♂️
Mmmh Eva mtaalamu siyo poa.Evelyn ni mtaalam sana, na hivi libido yake haijawahi kumwangusha😅😅😅
Vibabu vya jf jau🤣🤣🤣Nasubiri part 2 ya mtanange, ila mpaka sasa team yenu inaongoza goli 5 - 0
😄 😆 kila babu humu ana mjukuu anamfunua, sasa ukionekana unamkaribia lazima uparuliwe.
Wapo wanazoom vibabu vyao kimya kimya 😆
Hebu mjaribu Equation x kuna kipindi alikua anatafuta kabini ka kumchezea sharubu.
Hii si golf lakini au???Evelyn ni mtaalam sana, na hivi libido yake haijawahi kumwangusha😅😅😅
Hivi ki Asprin kiko wapi? Utakuta kilishauza hadi kaniki zakeVibabu vya jf jau🤣🤣🤣
Binti wa kichaga hana mapenzi, show yao mbovu,hawana heshima wanapenda tuh helaWaswahili wanakupaga nini vya ajabu hivyo?
Toka jana wachaga umewaandama, walikunyima nini?
😁😁😁 nimecheka sana wallah mbavu zinauma 🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄 😆 kila babu humu ana mjukuu anamfunua, sasa ukionekana unamkaribia lazima uparuliwe.
Wapo wanazoom vibabu vyao kimya kimya 😆
Hebu mjaribu Equation x kuna kipindi alikua anatafuta kabinti ka kumchezea sharubu.
Alooo 😀😀😀 hatari sanaNasubiri part 2 ya mtanange, ila mpaka sasa team yenu inaongoza goli 5 - 0
Kama ni hivyo basiii sitakiAna visukari huyo, atakufia kifuani🤣🤣🤣
Sivumiliii🤣🤣🤣Kama ni hivyo basiii sitaki
Ila kama ana visukari kwanini wewe uvumilie🙃😅
Una m cheat huyo babu 😃Sivumiliii🤣🤣🤣
Hapanaa, sijawahi kweli tena🤣Una m cheat huyo babu 😃
Maskini babu yangu