Kama unataka kufanywa panya wa majaribio si nenda tu Kenya, hakukatazi mtu, kila nchi na utaratibu wake
Kila nchi ina utaratibu wake. Utaratibu wa Tanzania uko hapa:
Tupo tunaokataa kufanywa panya wa majaribio na kina Gwajima na pia na mamburula kama nyie.
Kama ya wataalamu hamuyataki si hamtachanjwa mtabakia hivyo hivyo? Shida iko wapi?
Kama la kukaa bila kuchanjwa nalo bado haliwatoshi ila mnaugulia mno kuona wengine tutachanjwa, fikirieni hata kuhamia Burundi.