Ulipokuwa wasoma Biology O-Level, ulifundishwa sifa na madhara ya virusi kwa kina?Kwa kuwa o level biology ni compulsory,then atoe pass yake ya biology form four ili tujadili hoja zake
Hyo ripoti haiwezi kuja na jipya lolote.
Zaidi Ya ENDELEENI KUCHAPA KAZI
Kwahiyo issue ni kujenga hoja au FACTS? Mtu anapotosha website ya J&J imeandika side effect mojawapo ni death wakati hyo description haipo then unadai kajenga hoja?unawezamtaja mtaalamu yeyote ili ajibu hayo kwa ufasaha???
corona imetokana na nini??tiba yake??
chanjo inakwendaje kufanya kazi mwilini?na imefaulu lini majaribio??
ni kweli gwajima hawezi kuwa mtaalamu kwa kila jambo,lakini ana uwezo mkubwa sana kujenga hoja,kitu ambacho huna.ukimsikiliza kwa utulivu utajua anataka utulize akili,sio kumsikiliza huku unawaza akikata viuno.
kwahiyo wewe msimamo waoo ni kuchanjwa au kutochanjwa??Kwahiyo issue ni kujenga hoja au FACTS? Mtu anapotosha website ya J&J imeandika side effect mojawapo ni death wakati hyo description haipo then unadai kajenga hoja?
Hta Dk.Mollel alimkosoa kitaalamu kabisa kwamba chanjo wala virusi vya Covid haviwezi penya hadi kwenye nucleus ya cell. Alafu anakuja mtu mwenye HKL anajifanya kuchambua epidemiology? Eti kujenga hoja kwa kupotosha?
Kwa kuwa 70% ya waTZ hawasomi vitabu wala kufuatilia mambo duniani atawazoa hao ila kwa wasomi wanamuona kituko tu.
Eti 5G ni corona!! Hahahaha mnafurahisha
Huyo JPM aliyekua anapinga Covid haipo mara cjui mabeberu tusitumie chanjo mbona alikua akitumia mashine ya kizungu kupush moyo? Yaani anawaambia mumtegemee Mungu huku yeye anategemea mashine ya mzungu!! Haaahaaa.Pole Sana.
magufuli alikutoa Knock out kwenye Corona .
Tunadunda Tu..
No barakoa,no sanitizer,no maji tiririka.
Achana na hii nchi
MUNGU YUPO.
eti cha indiaa
Dr Daniel Maeda ni mtaalamu wa chanjo??
Msimamo wangu ni kuchanjwakwahiyo wewe msimamo waoo ni kuchanjwa au kutochanjwa??
inawezekana hata hujui kipi unasimamia.
Huyo JPM aliyekua anapinga Covid haipo mara cjui mabeberu tusitumie chanjo mbona alikua akitumia mashine ya kizungu kupush moyo? Yaani anawaambia mumtegemee Mungu huku yeye anategemea mashine ya mzungu!! Haaahaaa.
Idadi ya vifo vya TZ haipishani na vifo vya UG, Rwanda,Kenya n.k ila mbona hao hawakutegemea maombi pekee? Au TZ ndio ina vifo vichache vya Covid duniani kwa ujinga wako?
Mmekalia kejeli wkt mkizidiwa mnakimbizwa India eti leo hii unakuja mlipuko mnakashifu medical facility zao. Nchi ina watu billion 1.2+ watu wakifa buku kwa siku ni kma tone la damu baharini kma ulikua hujui ni below 1% ya watu wote waliougua Covid ndio wanakufa India.
Tatizo Elimu na mihemko, kuna watu hawajui hta population ya India na ratio ya death to survival..... But mmekalia kejeli tu za namba za vifo.
tumia akili hata unayovukia barabara basi,hata mbuzi huwasaidia hiyo.Huyo JPM aliyekua anapinga Covid haipo mara cjui mabeberu tusitumie chanjo mbona alikua akitumia mashine ya kizungu kupush moyo? Yaani anawaambia mumtegemee Mungu huku yeye anategemea mashine ya mzungu!! Haaahaaa.
Idadi ya vifo vya TZ haipishani na vifo vya UG, Rwanda,Kenya n.k ila mbona hao hawakutegemea maombi pekee? Au TZ ndio ina vifo vichache vya Covid duniani kwa ujinga wako?
Mmekalia kejeli wkt mkizidiwa mnakimbizwa India eti leo hii unakuja mlipuko mnakashifu medical facility zao. Nchi ina watu billion 1.2+ watu wakifa buku kwa siku ni kma tone la damu baharini kma ulikua hujui ni below 1% ya watu wote waliougua Covid ndio wanakufa India.
Tatizo Elimu na mihemko, kuna watu hawajui hta population ya India na ratio ya death to survival..... But mmekalia kejeli tu za namba za vifo.
Msimamo wangu ni kuchanjwa
2. Chanjo sio lazima ziwe za nje. Tutengeneze za kwetu
3. Sasa cha kushangaza kuna mijitu inapinga chanjo na kukejeli wanaotumia hku hatutengenezi.
4. Kwanini tusitengeneze zetu wenyewe? Hao tunaowakejeli mbona hawajasubiri za mabeberu? Sisi tumekalia kukosoa za wazungu hku za kwetu hamna. Kwani wapi wamesema ni lazima mtumie za oxford au moderna?
Hii nchi JPM aliiharibu sana watu mnapenda umbea kuliko facts
Wewe ndio huna, sio mimi.Mtu akikopi mtandaoni afu eti anauwezo wa kujenga hoja, lada kwako ndio mana umuumuni wake.unawezamtaja mtaalamu yeyote ili ajibu hayo kwa ufasaha???
corona imetokana na nini??tiba yake??
chanjo inakwendaje kufanya kazi mwilini?na imefaulu lini majaribio??
ni kweli gwajima hawezi kuwa mtaalamu kwa kila jambo,lakini ana uwezo mkubwa sana kujenga hoja,kitu ambacho huna.ukimsikiliza kwa utulivu utajua anataka utulize akili,sio kumsikiliza huku unawaza akikata viuno.
Wewe ndio huna, sio mimi.Mtu akikopi mtandaoni afu eti anauwezo wa kujenga hoja, lada kwako ndio mana umuumuni wake.
Ile hoja ya kuongoza kwa namna yake ndio ilikugusa ?
Ubunge wenyewe kapewa mbona alipigwa chini kawe kama anaweza kujenga hoja.
Hajui chochote kuhusu chanjo halafu anaongea utopolo bungeni.
Sayansi ina wenyewe, akapige ngonjela kanisani ambapo watu hawahoji chochote.
Ukikopi biblia ukaiweka kichwani basi we unakuwa una akili !
Wenye akili ni wale walioatunga biblia sio mnaokalili na kudanganya.
Kama yeye kichwa avumbue dawa yake. Gwaji anatafuta popularity kwa watu wepesi kama wewe.
Kwahiyo ugonjwa wa Moyo tutegemee mzungu ila Covid 19 tumtegemee Mungu? HahahahaSasa UGONJWA wa moyo na Corona NI Sawa?
Kwahiyo ugonjwa wa Moyo tutegemee mzungu ila Covid 19 tumtegemee Mungu? Hahahaha
Embu pita mtandao wa Reddit uone kejeli anazopewa JPM. Na ule mtandao umejaa vipanga tu, yaani wanahoji kwanini alipinga chanjo za wazungu huku anatumia akili ya mzungu kuendelea kupumua?
Kuna wakati tupunguze ujuaji
Sasa Gwajima ana elimu gani ya kuhoji medicinal au clinical trials za epidemiologist??gwajima alikiri pia,kwamba hapondi chanjo maana zimekuwepo miaka kibao,anachopinga ni hatua za kitaalamh kutokamilika katika chanjo hiyo,maana tutakuwa sehemu ya majaribiowajinga ni nyinyi msiotaka kuelewa.
Unaona sasa!!! Unanitumia screenshot ya instagram eti ndio source ya taarifa? Are you serious?Ebu Soma KwanzaView attachment 1784102
Unaona sasa!!! Unanitumia screenshot ya instagram eti ndio source ya taarifa? Are you serious?
Leta hapa empirical analysis ama paper inayogusia hizo taarifa. Tatizo mnapenda umbea ndio maana mnaona kina Gwajima ndio magenius