Wataalamu wasema Askofu Gwajima amepotosha ukweli kuhusu chanjo ya corona

Sasa Gwajima ana elimu gani ya kuhoji medicinal au clinical trials za epidemiologist??

Mimi kitaaluma nadeal sana na tafiti huwa siwezi andikaa ripoti bila kwanza kutafuta taarifa kwa watu kwenye sekta husika.

Sasa mtu wa HKL unahoji PCB? Hivi Gwajima anajua procedure za kuandaa chanjo zingine au yye amesoma tu pdf moja tu google basi kageuka mchambuzi wa virology?

Angetoa hiyo hoja Dr.Kigwangallah licha ya kwamba naye ni mnafiki tu lkn walau ningeamini sababu ni Medical Doctor!!

Mimi siwezi hoji masuala ambayo sina taaluma nayo. Nmejifunza kuheshimu taaluma za watu.
usijifunguie kwenye taaluma yako peke yake.
hakuna sheria inayokulazimisha kuwa hivyo ni uamuzi wako tu,ambao tunawezaita ni wa ajabu ajabu.
ndio asili ya wasomi wa leo,yaani mtaalamu wa fani fulani anajikita hapo peke yake,na kuacha kabisa kujihusisha na mambo mengine,iwe kujisomea au kujihusisha nayo kivingine,sawa.
ila sio lazima kila mtu awe hivyo.

lingekuwa jambo la hovyo sana kama gwajima angesimama apinge chanjo halafu hana sababu.
sisi kama wasikilizaji tuna muda wa kufanyia utafiti aliyoyazungumza si kukanusha tu na kusema hajui alichoongea.wakati ni ukweli chanjo zimesababisha matatizo kwa waliopokea.

wewe ni mtaalamu,lakini nikikuuliza kirusi cha corona kimetoka wapi,huna jibu zaidi ya kuishia kuwa ni kirusi cha mlipuko.
 
kwani wewe umeandaa chanjo gani,au unasubiri hizo hizo za mabeberu??
2,mabeberu zimewashinda kuzitengeneza kwa mwaka mzima sisi tutaanzaje kutengeneza zetu!!!!

3 usiite watu wajinga sababu tu hawakufurahishi,wanachopinga ni uwezo wa chanjo hizo,zimefaulu viwango vyote??

4 hatujawa na uwezo huo bado wa kimaabara,na tulipojaribu njia za asili wataalamu wetu baadhi walibeza pia.lakini hii haifanyi sisi kuwa kondoo sasa kila kitu amina.

sera ya jpm ilikuwa kazi tu,kama ni umbea mlikuwa mnapiga hiyo ni asili ya mtu.
Hvi unadhani kutengeneza chanjo ya mlipuko ni rahisi? Watu wanakesha usiku kucha mpka wamepata nyie mmekalia tu kuwaza kampeni na kuufuta upinzani mnadhani mngeweza pata chanjo kwa wakati?

Nawaita wajinga sababu wanapotosha bila kuwa na elimu ya kitu husika
usijifunguie kwenye taaluma yako peke yake.
hakuna sheria inayokulazimisha kuwa hivyo ni uamuzi wako tu,ambao tunawezaita ni wa ajabu ajabu.
ndio asili ya wasomi wa leo,yaani mtaalamu wa fani fulani anajikita hapo peke yake,na kuacha kabisa kujihusisha na mambo mengine,iwe kujisomea au kujihusisha nayo kivingine,sawa.
ila sio lazima kila mtu awe hivyo.

lingekuwa jambo la hovyo sana kama gwajima angesimama apinge chanjo halafu hana sababu.
sisi kama wasikilizaji tuna muda wa kufanyia utafiti aliyoyazungumza si kukanusha tu na kusema hajui alichoongea.wakati ni ukweli chanjo zimesababisha matatizo kwa waliopokea.

wewe ni mtaalamu,lakini nikikuuliza kirusi cha corona kimetoka wapi,huna jibu zaidi ya kuishia kuwa ni kirusi cha mlipuko.
Sasa amepotosha kuwa kirusi/chanjo inagusa nucleus wakati si kweli bali kinaranda kwenye cytoplasm tu.

Mimi kwa eneo langu huwa najifunza mambo mengi LAKINI kma nilivyoeleza natumia wataalam wa eneo husika. Sasa Gwajima anadownload pdf moja tu then anageuka mchambuzi wa virology hiko ndio napinga.

Tukiandaa tafiti za kibiashara na kiuchumi huwa tunasoma hata data za paper 20-30 ndio uandae kurasa kadhaa. Huwezi tumia reference moja tu kufikia conclusion kwenye taaluma hakuna hiko kitu.

Mtu anadai CDC haizitambui chanjo.... Kwani alishindwa kutafuta daktari amayeishi US ampe briefing CDC ina practice vipi na mfumo upoje? Ni lazima tupende kusoma kabla ya kutoa maoni otherwise uache wataalam wajadili.

Tatizo lenu mmekalia ushabiki hamtaki facts
 
Hahaahaaa haa! Ukimnukuu mtu, kumbuka kumnukuu sahihi kabisa bila kuacha nukta wala koma. Vinginevyo kwa kiswahili, itakuwa ni "kujitia hamnazo."

Kwenye red uliandika hukuona walipomkosoa Askofu Gwajima.

View attachment 1783541

Kwenye blue nikakutaarifu kama hauoni basi itakuwa ni "staha tu" ya mleta mada na kukupa source ya habari nzima kwenye green ukipenda kujiridhisha mwenyewe.

NB: Kiswahili ni bahari. Kushindwa kuelewa andiko ni jambo la kawaida mno. Kwa kushindwa kuelewa kwako hakukufanyi binafsi kuwa na lolote la zaidi.
Wapi sasa walipokosoa juu ya hiyo chanjo kuwa ya majaribio?
 
Hvi unadhani kutengeneza chanjo ya mlipuko ni rahisi? Watu wanakesha usiku kucha mpka wamepata nyie mmekalia tu kuwaza kampeni na kuufuta upinzani mnadhani mngeweza pata chanjo kwa wakati?

Nawaita wajinga sababu wanapotosha bila kuwa na elimu ya kitu husika

Sasa amepotosha kuwa kirusi/chanjo inagusa nucleus wakati si kweli bali kinaranda kwenye cytoplasm tu.

Mimi kwa eneo langu huwa najifunza mambo mengi LAKINI kma nilivyoeleza natumia wataalam wa eneo husika. Sasa Gwajima anadownload pdf moja tu then anageuka mchambuzi wa virology hiko ndio napinga.

Tukiandaa tafiti za kibiashara na kiuchumi huwa tunasoma hata data za paper 20-30 ndio uandae kurasa kadhaa. Huwezi tumia reference moja tu kufikia conclusion kwenye taaluma hakuna hiko kitu.

Mtu anadai CDC haizitambui chanjo.... Kwani alishindwa kutafuta daktari amayeishi US ampe briefing CDC ina practice vipi na mfumo upoje? Ni lazima tupende kusoma kabla ya kutoa maoni otherwise uache wataalam wajadili.

Tatizo lenu mmekalia ushabiki hamtaki facts
Mkuu waache wafuasi na mtume wao. Tuna subiri chanjo ya mtume wao.
 
Wapi sasa walipokosoa juu ya hiyo chanjo kuwa ya majaribio?

Kwenye red panakaza zaidi:

IMG_20210514_192000_156.jpg


Ushauri wa wataalamu si wa mitume wafufua wafu utazingatiwa.

IMG_20210514_201325_342.jpg


Ni furaha sana kuwa na mama Samia kama rais wa JMT.

Mungu atupe nini tena?
 
Shida ya UVCCM wengi elimu ndogo ni changamoto. Ni hatari vijana wa HKL kujifanya mnahoji maprofessor wa epidemiology kutoka Oxford tena sio kwa paper au experiment ila kwa hearsay.

Hakuna aliyesema mtumie chanjo za wazungu..... China wanatengeneza zao so does Russia, nyie mnakwama wapi? Kwanini kila siku kulaumu wazungu? Ile ni chanjo yao nyie yenu ikwapi ambayo ipo perfect?

Kuna wakati huwa nashindwa kuelewa waTZ sijui elimu ni changamoto. Ile Radiotherapy treatment pale ocean Road 38% hupata madhara ya organ failure ni lini umewahi sikia imefungiwa au kulaumu mabeberu kutupatia?? Mmekaririshwa tu kwamba chanjo ya Covid ndio ina side effects ila dawa zote duniani eti hazina effects?
Sasa ya nini kulazimishiana kama sio lazima, acheni kelele basi, mtulie
 
Sasa ya nini kulazimishiana kama sio lazima, acheni kelele basi, mtulie
Tunachopinga ni upotoshaji wenu UVCCM.... Yaani vijana wa HKL mnahoji epidemiology? Mbona cjaona mmeandika tafiti kukosoa chanjo na mkapropose yenu?

Issue ni chanjo ni muhimu but hakuna mahala wamesema lazma itoke nje. Ila nyie mmekazana tu ooh mabeberu ooh majaribio. Mbona china wana zao, Russi and india too?

Acheni kuleta ujuaji tengenezeni chanjo yenu or shut up.
 
Ni wapi sasa wanapokanusha kuwa chanjo si majaribio?
Wanakanusha kitu ambacho hakipo? Ushaambiwa clinical trials zilikua last year na wakajiridhisha faida ni kubwa kuliko hasara kwa mujibu wa naibu waziri na WHO.

Sasa kwa mazingira hayo ww usiye hta na basic certificate ya masuala ya afya unatoa wapi nguvu ya kuhoji maprofessor wa virology??

Kma mnapinga muwe na uthibitisho wa kisayansi otherwise hakuna waliposema mtumie chanjo kutoka nje. Kiri tu mmeshindwa kutengeneza ila kukaa kulaumu wazungu na kukosoa uvumbuzi wao wkt ssi hatuna wa kwetu hauwezi kuwasaidia lolote.
 
UNAFIKI UPO.
kwani wengine wanaokufa wao hawafuati ushauri wa WATAALAM?.

Unafiki upi. Huku wenzio safari ya hija imewiva:


Karagabaho!
 
Kwa hyo wakipata chanjo ndo watakuwa salama na Corona?
Unafiki upi. Huku wenzio safari ya hija imewiva:


Karagabaho!
 
Ni wapi sasa wanapokanusha kuwa chanjo si majaribio?

Hakuna kilichoasisiwa na binadamu kisichokuwa katika majaribio ya kudumu.

Ndiyo maana nafasi ya maboresho ipo siku zote.


Kazi inapoendelea tuko bega kwa bega na mama Samia. Ngoja turudi kutoka hija. Tutaelewana tu!
 
Tunachopinga ni upotoshaji wenu UVCCM.... Yaani vijana wa HKL mnahoji epidemiology? Mbona cjaona mmeandika tafiti kukosoa chanjo na mkapropose yenu?

Issue ni chanjo ni muhimu but hakuna mahala wamesema lazma itoke nje. Ila nyie mmekazana tu ooh mabeberu ooh majaribio. Mbona china wana zao, Russi and india too?

Acheni kuleta ujuaji tengenezeni chanjo yenu or shut up.
Chanjo ni ya majaribio, na sijaona sehemu mtu akikanusha hii hoja ya Gwajima, zingine ni kelele tu za madalali, tutengeneza yetu kwani ulisikia tunashida ya chanjo ya Corona?
 
Chanjo ni ya majaribio, na sijaona sehemu mtu akikanusha hii hoja ya Gwajima, zingine ni kelele tu za madalali, tutengeneza yetu kwani ulisikia tunashida ya chanjo ya Corona?

Na sisi tulio na shida ya chanjo ya Corona umetujumuisha kwenye maoni yako haya?

"..... kwani ulisikia tunashida ya chanjo ya Corona?"
 
Wanakanusha kitu ambacho hakipo? Ushaambiwa clinical trials zilikua last year na wakajiridhisha faida ni kubwa kuliko hasara kwa mujibu wa naibu waziri na WHO.

Sasa kwa mazingira hayo ww usiye hta na basic certificate ya masuala ya afya unatoa wapi nguvu ya kuhoji maprofessor wa virology??

Kma mnapinga muwe na uthibitisho wa kisayansi otherwise hakuna waliposema mtumie chanjo kutoka nje. Kiri tu mmeshindwa kutengeneza ila kukaa kulaumu wazungu na kukosoa uvumbuzi wao wkt ssi hatuna wa kwetu hauwezi kuwasaidia lolote.
Chanjo imeruhusiwa kwa ‘Emergency use Authorisation’ , chanjo ya dharura simply means haijafahamika madhara yake na side effects zake kwa mida mrefu, na hiyo ndio maana ya majaribio, na katika hayo majaribio imegundulika kuna wanaoganda damu nk, kuna chanjo ya Astra zameca ilishapigwa marufuku mara kadhaa, ni sababu bado inajaribiwa, sasa sijajua nabishana nataahira au punguani, sielewi kabisa
 
Na sisi tulio na shida ya chanjo ya Corona umetujumuisha kwenye maoni yako haya?

"..... kwani ulisikia tunashida ya chanjo ya Corona?"
Kama unataka kufanywa panya wa majaribio si nenda tu Kenya, hakukatazi mtu, kila nchi na utaratibu wake
 
Back
Top Bottom