Vita ya Google na Apple nani Mshindi?

Vita ya Google na Apple nani Mshindi?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,285
Reaction score
2,595
1_20260507_042618_0000.png


Kama unafikiria Google tunaweza kutumia mfumo wa Liquid Glass kuendana na iPhone kwenye vifaa vyetu sahau kabisa ๐Ÿ‘‹.

Hii ndo kauli mpya ya ametoa Bwana Sameer Samat Rais wa Google kwenye masuala yote ya Ecosystem ya Android.

2_20260507_042618_0001.png


Aliweza kutoa kauli hiyo baada Uvumi kusambaa kuwa Google wataweza kutambulisha Mfumo wa Liquid Glass kwenye Simu za Android, aliweza kujibu kupitia mtandao wa Twitter/ X kwa kusema ;

3_20260507_042618_0002.png


"Mfumo wa Liquid Glass hauwezi kufanya kazi kwenye Android ". Google imewekeza sana kwenye muundo wake wa kipekee lakini kuna mabadiliko makubwa yanakuja.

4_20260507_042618_0003.png


Japo baadhi ya kampuni mbalimbali za androd zimeweka mfumo Liquid Glass kwenye Mifumo yao kama vile Oppo / OnePlus, Xiaomi na hata Samsung ila kwa Google wamekataa kabisa unasemaje.
 
Back
Top Bottom