Wataalamu wa ku upgrade android version

Wataalamu wa ku upgrade android version

Wadau nimepata ujumbe toka Sony juu ya ku-Update OS ya simu yangu z3 kwenda Mashmallow..... Naombeni wenye uzoefu na hili.

Vipi nikiupgrade haiwezi niletea shida, maana nimeizoea hii lollipop na haija nisumbua kabisa kwenye issue ya kutunza chaji na matumizi mengine ya kawaida.

Nimesoma mahali hapa ndani, wengi wakilalamika kuwa baada ya ku-upgrade simu zao zimekuwa zikiwaletea usumbufu vipi haliwezi nitokea pia?

Na incase nikitaka Upgrade ni njia ipi inafaa kati ya kutumia WiFi au mobile network?

Natanguliza shukrani za dhati.....
3ade1fdb9e3fe8def13f4f02abb4f19d.jpg
e96c827507faaa6360abf037a23431bc.jpg
upgrade tu ,ukiface tatizo la chaj basi uta downgrade tu

tumia njia yoyote tu ilimradi network iwe nzur
 
Mkuu simu hii haina updates (see attachment) ila naomba usichoke kutafuta huenda ukakutana na namna ya ku update!
5530cf91acaa2583ea693e0e706a3906.jpg
Kcamp bado nakusumbua. Hujapata chochote kwa simu yangu juu ya ku upgrade?
hiyo simu mkuu hata siifaham,hata google nashindwa kuiona hivyo nakosa jibu la kukupa,umejaribu kuchek updates?
 
Haya maujanja jamani we acheni.
Mimi natumia samsung galaxy s4 gt-i9500 original baada ya kushawishika kuroot kisha nikafanikiwa kuweka custom ROM ambayo ni ya samsung galaxy s6 edge. Sasa basi hapa full raha yaani s6 edge ndani ya s4..burudani Jf.
 
mkuu simu yako hata kuijua napata shida mkuu,,mtandaon haionekani
kcamp, hi! Katika kupita huku na kule nimejifunza kuwa kuna software kwa ajili ya ku upgrade any android. Please msaada kama unayo nataka kwenda Lollipop 5. Please!!
 
kcamp, hi! Katika kupita huku na kule nimejifunza kuwa kuna software kwa ajili ya ku upgrade any android. Please msaada kama unayo nataka kwenda Lollipop 5. Please!!

hakuna software moja ya kufanya upgrade kwa android zote kila simu ina njia zake mkuuu,
 
Nitarudi badae na mimi nichukue mautundu huku
 
hakuna software moja ya kufanya upgrade kwa android zote kila simu ina njia zake mkuuu,
Da! Aisee. Wacha niwe mpole. Ila nimepata mautundu nime - root simu yangu na nimeweza kuchakachua poweramp! Asanteni Wataalamu JF!
 
Da! Aisee. Wacha niwe mpole. Ila nimepata mautundu nime - root simu yangu na nimeweza kuchakachua poweramp! Asanteni Wataalamu JF!
Kcamp za asubuhi. Nawezaje ku -upgrade SAMSUNG ACE 3 kwenda lollipop/marshmallow? Msaada please
 
Naombeni custom rom yoyote nzuri kwa gallery s4 gt-i9500.
Nilizonazo ni (roms)
S6 rom
Mashmallow (5.1.1 na 6.0.1)
Albe95.
Nikipata nje ya hizi nitashukuru
 
Back
Top Bottom