Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,966
Mkuu nimefuata hizo hatua hadi mwisho, nimerudi kama ulivyoelekeza.kwa custom rom utaweza..sijataka kukwambia utumie custom rom mana unaweza haribu simu yako ukikosea.
anza kuroot simu yako kisha flash recovery na utaweza kuflash rom unayopenda wewe kulingana na simu yako