Wataalamu wa afya; mtindo wa watu kuoga maji baridi ili kupooza miili, je kuna madhara kiafya?

Mgeni wa Jiji

JF-Expert Member
Jul 27, 2017
7,923
13,406
Salamu waungwana.

Nisiwe na maneno mengi mimi nina swali hili kwa wataalamu wa afya na wizara ya afya kwa ujumla.

Je, mtindo wa watu kuoga maji baridi ili kupooza joto la miili yao ni salama kwa afya?

Kama sio salama kwanini wizara na wataalamu wa afya hamlizungumzii hili suala hata kutoa elimu kwa umma ikizingatiwa kumekuwepo ongezeko la juu la joto.

Kwa sasa kuna watu wanaamka usingizini wanakwenda kujimwagia maji baridi mwilini kisha wanarudi kulala, je hili ni sawa kweli kiafya?

Ahsanteni.
 
Engine ya gari ikipata moto unapoza na maji ya baridi. Miiki yetu ni mfano tu wa machine yeyote ile. Ni hatari Sana, Sana, Sana, miili yetu kukaa kwenye joto jingi. Ndiyo maana mwili Wenyewe una regulate kwamba Sana nahitaji ubaridi au joto. Mwili ukichemka na joto ni hatari Sana. That's it. Anayekudanganya kwamba tusitumie maji ya baridi wakati mwili umechemka ni muongo. Tena ni muongo mkubwa. Mwili ni machine. Una regulate
 
Engine ya gari ikipata moto unapoza na maji ya baridi. Miiki yetu ni mfano tu wa machine yeyote ile. Ni hatari Sana, Sana, Sana, miili yetu kukaa kwenye joto jingi. Ndiyo maana mwili Wenyewe una regulate kwamba Sana nahitaji ubaridi au joto. Mwili ukichemka na joto ni hatari Sana. That's it. Anayekudanganya kwamba tusitumie maji ya baridi wakati mwili umechemka ni muongo. Tena ni muongo mkubwa. Mwili ni machine. Una regulate
Nakazia katika hilo.
 
Back
Top Bottom