Naombeni ushauri nahitaji kufunga umeme wa solar

ashomile

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
2,625
2,443
Habari Ndugu zanguni?

Mimi nahitaji nitumie umeme wa solar maana nilipoweka makazi umeme wa tanesco haujafika.
Nataka nitumie
i) Taa (04)
ii) Kuchaji Simu (07)
iii) Sabufa (01) tu .

Je, napaswa ninunue solar gani na betri gani? Na nahitaji nipate mafundi wazuri wakunifungia vifaa hivyo. Pia nahitaji niwe natumia inverter na resistanca ili kuuweka umeme stable.

Ushauri Wenu naombeni.
 
Kama unataka umeme wa uhakika chukua 80watt betri N70 ile ya unga. Inveter 150watt, chaja control 10A au 20A.

Tafuta Fundi mzuri afanye WIRING a covert Dc to AC ili uweze kutumia soketi switch za ukutani. Pia atagawa njia za taa ndo zitumie umeme wa Dc direct.

Hapo utawasha Taa, utakula mziki na utacheki Tv.

Unatak kuhamia kwenye kijumba chako.
 
Kama unataka umeme wa uhakika chukua 80watt betri N70 ile ya unga. Inveter 150watt, chaja control 10A au 20A.

Tafuta Fundi mzuri afanye WIRING a covert Dc to AC ili uweze kutumia soketi switch za ukutani. Pia atagawa njia za taa ndo zitumie umeme wa Dc direct.

Hapo utawasha Taa, utakula mziki na utacheki Tv.

Unatak kuhamia kwenye kijumba chako.
Ee mkuu nataka nihamie kwangu buana town kumenichosha kodi kila mwezi wakati nina kwangu !!?
 
Kama unataka umeme wa uhakika chukua 80watt betri N70 ile ya unga. Inveter 150watt, chaja control 10A au 20A.

Tafuta Fundi mzuri afanye WIRING a covert Dc to AC ili uweze kutumia soketi switch za ukutani. Pia atagawa njia za taa ndo zitumie umeme wa Dc direct.

Hapo utawasha Taa, utakula mziki na utacheki Tv.

Unatak kuhamia kwenye kijumba chako.
Mkuu Solar ya Watt80 na Betri N70 ya Unga na Inveter inaweza chukua kiasi gani cha pesa ..
Nami nataka umeme uwe wa kuconvert itapendeza zaidi..

Naomba unijuze bei mkuu wangu
 
nashauri ukwepe Inverter, then ununue vifaa zenye support ya DC (kwa solar) na AC ( kwa umeme wa tanesco in case ukijaunga wiring)

power nyingi inapotelea kwenye Inverter ( Inverter nyingi ufanisi ni chini ya 60% )
 
Mkuu Solar ya Watt80 na Betri N70 ya Unga na Inveter inaweza chukua kiasi gani cha pesa ..
Nami nataka umeme uwe wa kuconvert itapendeza zaidi..

Naomba unijuze bei mkuu wangu

Solar
Betri
Inveter
Charge control

Andaa kama 450k kama utahitaji solar watt tofauti na hiyo basi bei itapungua kutokana na betri.
 
nashauri ukwepe Inverter, then ununue vifaa zenye support ya DC (kwa solar) na AC ( kwa umeme wa tanesco in case ukijaunga wiring)

power nyingi inapotelea kwenye Inverter ( Inverter nyingi ufanisi ni chini ya 60% )
Kwahiyo kuna vifaa vinavyosuport ya dc na ac ?
 
nashauri ukwepe Inverter, then ununue vifaa zenye support ya DC (kwa solar) na AC ( kwa umeme wa tanseco in case ukijaunga wiring)

power nyingi inapotelea kwenye Inverter ( Inverter nyingi ufanisi ni chini ya 60% )

Kama ni hivyo itabidi afanya wiring mbili ambazo ni Dc na Ac. Na inaweza ikampa gharama kubwa. Bora akafanya wiring moja tu ambayo inajumuisha na Ac ili hata huko mbele akipata umeme iwe rahisi kwake.
 
Kama ni hivyo itabidi afanya wiring mbili ambazo ni Dc na Ac. Na inaweza ikampa gharama kubwa. Bora akafanya wiring moja tu ambayo inajumuisha na Ac ili hata huko mbele akipata umeme iwe rahisi kwake.
Mkuu naomba niulize swali nikifunga umeme wa solar ambao haupitii kwenye inveter hivi nikiwa nachaji simu si shida kuijaza ?
 
Kama ni hivyo itabidi afanya wiring mbili ambazo ni Dc na Ac. Na inaweza ikampa gharama kubwa. Bora akafanya wiring moja tu ambayo inajumuisha na Ac ili hata huko mbele akipata umeme iwe rahisi kwake.

wiring moja tu, analaza waya wa 2.5 mm² kwa lights na power circuits

kwenye DB anaweka Change-Over Switch mchezo umeisha, izo zote ni gharama za mara moja

kuliko kutumia Inverter za efficiency za ovyo milele, na hutapata ile 'Pure Sine Wave'
 
wiring moja tu, analaza waya wa 2.5 mm2 kwa lights na power circuits

kwenye DB anaweka Change-Over Switch mchezo umeisha, izo zote ni gharama za mara moja

kuliko kutumia Inverter za efficiency za ovyo milele, na hutapata ile 'Pure Sine Wave'

Kwenye kuchaji simu ndo atapata mtihani, maana smartphone zetu hizi zinataka power kubwa sana.
 
Back
Top Bottom