Rurakha
Senior Member
- Oct 20, 2019
- 121
- 209
Habari za leo,
Natumaini mnaendelea vizuri na utekelezaji wa majukum ya kila siku.
Binafsi nimekuwa nikifuatilia utekelezaji wa shughuli za mahakama Nchini Kenya nimeona mamna ambavyo Mahakama ya Kenya imekuwa ikitoa mashinikizo mbali mbali kwa serikali kwa manufaa ya wananchi
Tukirudi hapa kwetu Tanzania kumekuwepo na tatizo la mgao wa UMEME ambao hauna sababu za kueleweka mara utasikia matengenezo kinga, mara miundombinu imeharibika, au ukame. Matatizo haya yamekuwepo kwa mda mrefu sana.
Binafsi nafikiri wanasheria wetu waende mahakamani kuishinikiza serikali na TANESCO waruhusu uwekezaji wa sekta Binafsi katika huduma hii muhimu kwa maslahi mapana ya Uchumi wetu ufanyike kwa haraka.
Uamuzi huo uzingatie kwamba serikali imefeli pakubwa katika Biashara na imekuwa ikitumia pesa nyingi sana bila matokeo ya kueleweka mfano angalia TBC na AZAM hizi taasisi mbili ukiangalia gharama za uendeshaji kuna uwezekano TBC anatumia pesa nyingi kuliko AZAM ila azam TV inafanya biashara ya utangazaji kwa ufanisi.
Mashirika mengine ambayo yapo yapo tu TRC, DART, TTCL, ni makampuni ambayo ukipitia Taarifa za fedha ni hasara tupu.
Natumaini mnaendelea vizuri na utekelezaji wa majukum ya kila siku.
Binafsi nimekuwa nikifuatilia utekelezaji wa shughuli za mahakama Nchini Kenya nimeona mamna ambavyo Mahakama ya Kenya imekuwa ikitoa mashinikizo mbali mbali kwa serikali kwa manufaa ya wananchi
Tukirudi hapa kwetu Tanzania kumekuwepo na tatizo la mgao wa UMEME ambao hauna sababu za kueleweka mara utasikia matengenezo kinga, mara miundombinu imeharibika, au ukame. Matatizo haya yamekuwepo kwa mda mrefu sana.
Binafsi nafikiri wanasheria wetu waende mahakamani kuishinikiza serikali na TANESCO waruhusu uwekezaji wa sekta Binafsi katika huduma hii muhimu kwa maslahi mapana ya Uchumi wetu ufanyike kwa haraka.
Uamuzi huo uzingatie kwamba serikali imefeli pakubwa katika Biashara na imekuwa ikitumia pesa nyingi sana bila matokeo ya kueleweka mfano angalia TBC na AZAM hizi taasisi mbili ukiangalia gharama za uendeshaji kuna uwezekano TBC anatumia pesa nyingi kuliko AZAM ila azam TV inafanya biashara ya utangazaji kwa ufanisi.
Mashirika mengine ambayo yapo yapo tu TRC, DART, TTCL, ni makampuni ambayo ukipitia Taarifa za fedha ni hasara tupu.