Wataalam wa namba....

Deni la awali -100<br />
chenji + 3 <br />
jibu -97<br />
ndilo deni jipya baada ya matumizi&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
-97-1=98&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
moja ni ile uliyobaki nayo (hivyo inatakiwa uitoe ktk deni na deni toa deni lazima deni liongezeke sio lipungue i.e -97-1=-98) Deni ni 98 kweli.
 
Hii thread imerudiwa yaani ume copy, ume edit na ume paste. Nakumbuka ya mwanzo jamaa ali2mia £ na ww ume2mia sh. Mod kua makini na vi2 kama hivi.
 
Hii thread imerudiwa yaani ume copy, ume edit na ume paste. Nakumbuka ya mwanzo jamaa ali2mia £ na ww ume2mia sh. Mod kua makini na vi2 kama hivi.
<br />
<br />
Sio kila kitu unachofikiria lazima uandike?
 
Deni la awali -100&lt;br /&gt;<br />
chenji + 3 &lt;br /&gt;<br />
jibu -97&lt;br /&gt;<br />
ndilo deni jipya baada ya matumizi&amp;amp;amp;lt;br /&amp;amp;amp;gt;&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
-97-1=98&amp;amp;amp;lt;br /&amp;amp;amp;gt;&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
moja ni ile uliyobaki nayo (hivyo inatakiwa uitoe ktk deni na deni toa deni lazima deni liongezeke sio lipungue i.e -97-1=-98) Deni ni 98 kweli.
<br />
<br />
Unakaribia kupata jitahidi
 
Yaani huyu kijana alienda kukopa kwa baba yake! Utamaduni wangu kijana hamkopi baba yake, so kwa jibu sahihi, hiyo sh1 atakuwa nayo mfukoni, nilidhani wikend hatusumbuani vichwa, loh
 
Kwan sh 1 bado inatumika hv leo? achilia mbali hiyo 100 ambayo hata ashkrim ya ubuyu hupati.
Hebu leta maswali yenye logic bana
 
Hio sh1 unayoitaka ni ipi mkulu?..deni ni sh98 baada ya kurudisha sh2, amespend sh97 na mkonon tayar ana sh1 so ma2mizi+alichonacho=deni(97+1=98) lete maswal mengine!
 
iko kwenye vitu alivyonunua! yaani vitu alivyonunua vina thamani ya sh 97, deni ni sh 98, kwa hiyo anazo sh 2. moja anayo mkononi, nyingine ndiyo hiyo (deni -vitu) yaani (98-97) = 1. kama atauza hivyo vitu at cost, atapata sh 97, akijumlisha na moja aliyonayo inakuwa jumla 98 analipa deni lote lililobaki, anamaliza.

natumaini umenipata mpendwa

ubarikiwe

Kwa nini unajumlisha (-98) + 1 na kupata 99 ?

Unafanya double discounting/ counting hapo.

Kama katumia sh 97, na kakopa kwa watu wawili, anachodaiwa ni sh 48.5 na kila mmoja, na si sh 49 na kila mmoja.

97/2 = 48.5, not 49.

Tatizo ni illusion ya maneno, ulipogawanya deni lililobaki, uliligawanya kwa 98, na sio 97 kama unavyotakiwa.

Hapa ndipo tofauti ya shilingi moja inapotokea.

QED

Interesting though, tuletee mengine more challenging.

Hio sh1 unayoitaka ni ipi mkulu?..deni ni sh98 baada ya kurudisha sh2, amespend sh97 na mkonon tayar ana sh1 so ma2mizi+alichonacho=deni(97+1=98) lete maswal mengine!


Hayo Juu ndio majibu alinunua vitu vya tshs 97 (yaani baba na mama wanadai 48.5/= na sio 49/=) kwahiyo ukijumlisha 48.5 + 48.5 +2(alizowarudishia) + 1(aliyobaki nayo) = 100
 
k<br />
itu gani hakijaeleweka hapo mpendwa, deni limepunguzwa kutoka sh 100 hadi 98. kwa hiyo katika 98, vilinunuliwa vitu vya 97 na amebaki na sh 1 mkononi, sasa shi 1 unayoitafuta iko wapi?<br />
<br />
ufafanuzi zaidi: <br />
<br />
50+50 =100,<br />
100-97-1-1=99 ndiyo uliyopata kwa hesabu zako, jumlisha sh 1 aliyonayo mkononi = 100!<br />
<br />
tafakari!<br />
<br />
ubarikiwe
<br />
<br />
yaani hapo asipokuelewa hatakuelewa tena!
We sio mwanafunzi, bali mwalimu wa Mathematics.
 
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?

ATTENTION: Dena Amsi

NAONA WOTE WALIOCHANGIA WALIKUWA WANAPISHANA NA MWALIMU WA HESABU MLANGONI
SASA SIKILIZENI WOTE MIMI NIMEKAMUA MATHEMATICS MPAKA CHUO HIVO NGOJA NIOKOE JAHAZI

MAELEZO NI KAMA IFUATAVO

Kwanza
; Deni analodaiwa baada ya kuwalipa baba sh 1 na mama sh 1 ni sh.98 tu.(PRESENT DEBT IS 98 SHS. ONLY)

Pili
; Jinsi ya kulipa ni kwamba atachukua sh. 1 aliyobaki nayo ajumlishe na ile gharama aliyotumia kununulia vitu ambayo ni sh.97 jumla atapata sh.98 {i.e 1 Sh.+ 97 Shs. = 98 Shs.} ambazo hizi zote ni miliki yake.

Sasa kichobaki ni kulipa deni maana atakuwa ana sh.98 na anadaiwa sh.98 basi mchezo utakuwa umeisha.

MAMBO YA KWAMBA SHILING 1 IKO WAPI NI UPOTOSHAJI TU KWA WALE WASIOJUA HESABU WAANZE KUHANGAIKA KAMA MLIVOFANYA WENGI WENU.
CHA MSINGI HAPA ILIKUWA KUJUA DENI NI KIASI GANI NA ANACHOMILIKI NI KIASI GANI BASI, NA WALA SIO MAMBO YA SH.1 IKO WAPI?

HOPE WAUNGWANA MMEELEWA JAPO WENGI WENU HAMPENDI HESABU , BASI NDO MMEIJUA KWA LAZIMA .
TAKE CARE!!!!!!!!!!!!



"THE END"
 
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?

Mama, umefanya la maana sana kwenye kutulete katika kufukiri masuala ya namba. Naomba jibu langu liwe hivi:-

Baada ya kukopeshwa na wazazi, deni jumla analodaiwa mtoto ni sh. 100/=(-100). Akiisha kufanya manunuzi alirudishiwa sh. 3 ambayo ni sehemu ya deni la sh 100. Pesa aliyotumia ni sh. 97. Hivyo kujua ni sehemu gani ya deni toka baba na mama imetumika, ni 97 gawanya kwa 2= 48.5.

Baba atakuwa anamdai sh. 50, katika hizo 48.5 zimetumika.Vivyo hivyo na mama.Sasa, Baba alipopewa sh.1 thamani ya deni iliongezwa kwa kuwa sh. 1 ilitoka katika sh. 3 ambayo ni sehemu ya deni yaani, -48.5 +(-1)=-49.5


Kwahiyo,
Deni jumla= deni la baba +deni la mama +sh.1 ya mtoto (sehemu ya deni)=-49.5+(-49.5)+(-1)=-100


Kwahiyo, sh. 1 inayotafutwa iko kwa baba na mama kila mmoja ana senti 50.
 
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?

alizokopa : 100
alizotumia: (97) kununua vitu
alizorejesha: (2) kwa baba na mama
alizobaki nazo 1

shillingi 1 unayoulizia iko wapi hapo?,

haihitajiki hesabu za kukariri hapa, fanya mlinganyo wa mapato na matumizi.

uliza lingine hapo huna swali
 
Mama na Baba wanadai 98 kujumlisha 1 ya dogo haina maana, 98 hiyo ni 97 aliyotumia +1 aliyobaki nayo.
So trick ipo kwenye kujumlish vitu ambavyo havihusiani, ila kwa vile namba ziko karibu inachanganya akili.
 
Namsubiria Dena Amsi aje kutusahihishia. Sasa hivi huenda yuko viwanja, mambo ya wikiendi.
Kumsubiri mwalimu kazi wewe!! Tuliosoma shule zisizo za ma-saint au seminary, tumezoea.
 
Back
Top Bottom