Wataalam wa namba....

Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?
<br />
<br />
Kwanini usijumlishe 98 na shilingi 2 alizowalipa baba na mama yake ili upate 100? njia uliofanya hapo juu haiendani na kanuni za hesabu
 
Mbona jibu nilitoa kitambo wajemeni?? Naona ze ppo karudia nilichokuwa nimekisema mm, bt c mbaya hilo ndio jibu!
 
<b>ATTENTION: <i>Dena Amsi</i></b><br />
<b><br />
NAONA WOTE WALIOCHANGIA WALIKUWA WANAPISHANA NA MWALIMU WA HESABU MLANGONI<br />
SASA SIKILIZENI WOTE MIMI NIMEKAMUA MATHEMATICS MPAKA CHUO HIVO NGOJA NIOKOE JAHAZI <br />
<br />
MAELEZO NI KAMA IFUATAVO <br />
<font color="#800000"><br />
Kwanza</font>; Deni analodaiwa baada ya kuwalipa baba sh 1 na mama sh 1 ni sh.98 tu.(PRESENT DEBT IS 98 SHS. ONLY)<br />
<font color="#800000"><br />
Pili</font>; Jinsi ya kulipa ni kwamba atachukua sh. 1 aliyobaki nayo ajumlishe na ile gharama aliyotumia kununulia vitu ambayo ni sh.97 jumla atapata sh.98 {i.e 1 Sh.+ 97 Shs. = 98 Shs.} ambazo hizi zote ni miliki yake.<br />
<br />
Sasa kichobaki ni kulipa deni maana atakuwa ana sh.98 na anadaiwa sh.98 basi mchezo utakuwa umeisha.<br />
<br />
MAMBO YA KWAMBA SHILING 1 IKO WAPI NI UPOTOSHAJI TU KWA WALE WASIOJUA HESABU WAANZE KUHANGAIKA KAMA MLIVOFANYA WENGI WENU. <br />
CHA MSINGI HAPA ILIKUWA KUJUA DENI NI KIASI GANI NA ANACHOMILIKI NI KIASI GANI BASI, NA WALA SIO MAMBO YA SH.1 IKO WAPI?<br />
<br />
HOPE WAUNGWANA MMEELEWA JAPO WENGI WENU HAMPENDI HESABU , BASI NDO MMEIJUA KWA LAZIMA .<br />
TAKE CARE!!!!!!!!!!!!</b><br />
<hr /><hr /><font size="4"><font color="#ff0000"><b>&quot;THE END&quot;</b></font></font>
<br />
<br />
Hapo nimekusoma mkuu!
 
<br />
<br />
Alitoa jibu gani?


Hii hapa chini

iko kwenye vitu alivyonunua! yaani vitu alivyonunua vina thamani ya sh 97, deni ni sh 98, kwa hiyo anazo sh 2. moja anayo mkononi, nyingine ndiyo hiyo (deni -vitu) yaani (98-97) = 1. kama atauza hivyo vitu at cost, atapata sh 97, akijumlisha na moja aliyonayo inakuwa jumla 98 analipa deni lote lililobaki, anamaliza.

natumaini umenipata mpendwa

ubarikiwe
 
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?
Jibu lipo simple, alitoa Mis Judith toka mwanzo:

50+50=100
1 (alimrudishia baba) na 1 (alimrudishia mama)=2
Alinunua vitu vya 97 na akaweka 1 mfukoni bila kupewa na wazee =98
98+2=100
Huyo mtoto alibaki na Sh 1 ya nini? aliambiwa achukue sh 1? kwa hiyo vitu alinunua ni Sh 97+1 (98) sababu na yenyewe ipo katika zile 50 za baba na 50 za mama. Watoto kama hawa wananikera, wanajifanya wajanjaaaaa, natamani kurudisha fimbo darasani!
 
Jibu lipo simple, alitoa Mis Judith toka mwanzo:

50+50=100
1 (alimrudishia baba) na 1 (alimrudishia mama)=2
Alinunua vitu vya 97 na akaweka 1 mfukoni bila kupewa na wazee =98
98+2=100
Huyo mtoto alibaki na Sh 1 ya nini? aliambiwa achukue sh 1? kwa hiyo vitu alinunua ni Sh 97+1 (98) sababu na yenyewe ipo katika zile 50 za baba na 50 za mama. Watoto kama hawa wananikera, wanajifanya wajanjaaaaa, natamani kurudisha fimbo darasani!

Ha ha ha fimbo tena haya siku njema
 
alizokopa : 100
alizotumia: (97) kununua vitu
alizorejesha: (2) kwa baba na mama
alizobaki nazo 1

shillingi 1 unayoulizia iko wapi hapo?,

haihitajiki hesabu za kukariri hapa, fanya mlinganyo wa mapato na matumizi.

Uliza lingine hapo huna swali
.......qed!
 
Back
Top Bottom