BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
KaziBei za bidhaa ndio Nazi sasa
KaziBei za bidhaa ndio Nazi sasa
kula pensheni zako, wapi pensheni imeingia. Ulaaniwe kwa kujikomba. Chawa wewe wa samiaLeo tarehe 24.3.2022 pensheni kwa Wastaafu tayari imeingia tofauti na nyakati za zamani.
Kwa niaba ya Wastaafu ninakushukuru kwa Wastaafu kupata pensheni yao mapema.
Tunakuombea afya njema ili uweze kuliongoza Taifa.
..."tofauti na nyakati za zamani".. Kweli hii ni propaganda!Leo tarehe 24.3.2022 pensheni kwa Wastaafu tayari imeingia tofauti na nyakati za zamani.
Kwa niaba ya Wastaafu ninakushukuru kwa Wastaafu kupata pensheni yao mapema.
Tunakuombea afya njema ili uweze kuliongoza Taifa.
Hili nalistaajabia hata mie!Utakuwa umestaafia peponi.
Wastaafu hatuna pa kusemea
Leo tarehe 24.3.2022 pensheni kwa Wastaafu tayari imeingia tofauti na nyakati za zamani.
Kwa niaba ya Wastaafu ninakushukuru kwa Wastaafu kupata pensheni yao mapema.
Tunakuombea afya njema ili uweze kuliongoza Taifa.
Mkuu umetoa swali lenye majibu mbona?Pensheni ni nn ? Ni pesa za kinua mgongo au ni zile za kila mwezi baada ya kustaafu
Mkuu umetoa swali lenye majibu mbona?
Pensheni ni zile za kila mwezi zinazoendelea kulipwa baada ya kulipwa kiinua mgongo. Na kiinua mgongo (mafao), ndiyo zile za mkupuo zitolewazo baada ya kustaafu.
Kutokupandisha vyeo na mishahara kwa watumishi miaka ile hivi nani anapaswa kufidia hasara waliyoipataLeo tarehe 24.3.2022 pensheni kwa Wastaafu tayari imeingia tofauti na nyakati za zamani.
Kwa niaba ya Wastaafu ninakushukuru kwa Wastaafu kupata pensheni yao mapema.
Tunakuombea afya njema ili uweze kuliongoza Taifa.