Alihojiwa akiwa nje ya ukumbi wa bunge kuhusu mambo ya makundi ya urais ndani ya CCM.
tuwaachie hii tabia wasaka dola bila mbinu (CHADEMA).
Msamehe bure amekosea tu angesema cha kikanda.Acha propaganda zako za kitoto.
Nani amekwambia Chadema ni chama cha wachaga?
Hivi sugu amechaguliwa ubunge Mbeya mjini,hilo si eneo la wanyakyusa?
Na je Mwanza nako,walikompa kura Wenje na Kiwia,nako utasema ni kwa wachaga?
Nako Kigoma kaskazini,aliokopata kura nyingi sana za ubunge,Zitto Kabwe,nako utasema kuna wachaga wengi kuliko waha?!
Hizo buku saba saba,mnazolambishwa hapo Lumumba,kwa kutangaza propaganda za magamba humu JF,zinawafanya mshindwe kabisa kupambanua mchele na pumba?!
Acha propaganda zako za kitoto.
Nani amekwambia Chadema ni chama cha wachaga?
Hivi sugu amechaguliwa ubunge Mbeya mjini,hilo si eneo la wanyakyusa?
Na je Mwanza nako,walikompa kura Wenje na Kiwia,nako utasema ni kwa wachaga?
Nako Kigoma kaskazini,aliokopata kura nyingi sana za ubunge,Zitto Kabwe,nako utasema kuna wachaga wengi kuliko waha?!
Hizo buku saba saba,mnazolambishwa hapo Lumumba,kwa kutangaza propaganda za magamba humu JF,zinawafanya mshindwe kabisa kupambanua mchele na pumba?!
Acha propaganda zako za kitoto.
Nani amekwambia Chadema ni chama cha wachaga?
Hivi sugu amechaguliwa ubunge Mbeya mjini,hilo si eneo la wanyakyusa?
Na je Mwanza nako,walikompa kura Wenje na Kiwia,nako utasema ni kwa wachaga?
Nako Kigoma kaskazini,aliokopata kura nyingi sana za ubunge,Zitto Kabwe,nako utasema kuna wachaga wengi kuliko waha?!
Hizo buku saba saba,mnazolambishwa hapo Lumumba,kwa kutangaza propaganda za magamba humu JF,zinawafanya mshindwe kabisa kupambanua mchele na pumba?!
Wassira amemwambia Sitta "kama unaona serikali inaendeshwa kwa rushwa jiuzuru", akaendelea kusisitiza, "huwezi kuwa kwenye serikali hiyo hiyo bado unaisema ni serikali ya kifisadi wakati na wewe ni sehemu ya serikali."
Wassira pia aliongeza yafuatayo, "huwezi kuisema serikali vibaya wakati na wewe ni sehemu ya serikali hiyo, vinginevyo ndugu Sitta aachie ngazi la sivyo huu utakuwa utapeli wa kisiasa".
Aidha, katika kuimalizia hoja yake hii aliuliza swali, "samaki mmoja akioza, wote wanaoza, sasa yeye (akimaanisha Sitta) atasalimika vipi?"
My take;
Mhe. Sitta nadhani ana hitaji kukopeshwa busara kidogo, katika hatua hii huwezi kujifanya una chukizwa na madudu ya serikali ambayo kwa kipindi chote hiki amekuwa akiitumikia, amekuwa sehemu ya serikali hiyo na kama akisema kuna madudu, na yeye tuseme ni miongoni mwa wazalisha madudu hayo.
Mhe. Sitta, kiu ya urais isikufanye uonekane kituko mbele ya watanzania, kuwa mpole na usubiri wakati muafaka, kwani tabia hizi za kuropoka ropoka ndani ya CCM hatunazo, tuwaachie hii tabia wasaka dola bila mbinu (CHADEMA).
Alichongea wassira yupo sahihi kwa 100% kwani Sitta miongon mwa wajenga dola sasa anapotoa shutuma kama hzo then aonyeshi suluhisho juu ya tatizo 2namuona n mnafki pia mbinu yake ambayo anatumia ili apate urais aje ku2mikia kanisa kama Nyerere ajue ameshndwa.