DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Hapa Tanzania huwa nikiwaangalia Wasomi , unaona kabisa Elimu yao ni kukariri na ya maelekezo.
Kilichomsaidia TAL kuwa na ufanisi wa juu wa sheria ni kwakuwa anajisomea , kujifunza mambo mapya kila siku.
Wasomi wetu hawa tulionao Tanzania , Sifikirii hata Kama wanaweza kushindana katika soko la kimataifa la ajira . all I know they can't.
Ndo maana unakuta nchi haiendi mbele kwakuwa hatuna wasomi wa kweli na hatuna good thinkers .
Kilichomsaidia TAL kuwa na ufanisi wa juu wa sheria ni kwakuwa anajisomea , kujifunza mambo mapya kila siku.
Wasomi wetu hawa tulionao Tanzania , Sifikirii hata Kama wanaweza kushindana katika soko la kimataifa la ajira . all I know they can't.
Ndo maana unakuta nchi haiendi mbele kwakuwa hatuna wasomi wa kweli na hatuna good thinkers .