Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,157
- 6,309
- Thread starter
- #321
Kwahiyo sie tatizo ni kutumia kiswahili kama lugha ya kufundishia?Unafikiri kwa nini nchi kama Kenya, uganda, Zambia wapo fluent? Kwamba wao wana akili za kujua sana kiingereza kuliko sisi? No, ni kwamba wao tangu shule za awali (elementary school) wanasoma kwa kiingereza. Hivyo wanaizoea lugha at an early age.
Nimekuelewa