Wasomi na kiingereza




hata mimi yapo maneno ya Kiswahili siyajui - kwa mfano subject and predicate)

Subject ni kiima na predicate ni kiarifu.

Kwa mfano mtangazaji wa habari anasema:- 'Lile gari lilimgonga mtu na kufa"

Hiyo sentensi ipo sahihi na inaeleweka, hiyo inaitwa "sentensi tata" na hata katika lugha zingine sentensi za aina hiyo zipo (Ambiguous sentences).
 
The problem is its too late now to turn back with all these changes around the globe for example imagine to change the whole advanced physics in kiswahili how you going to do that it will take very very long time and it may be impossible. Look all the technological advance and note in mind we do not invent them we re just users.
 
Translation can't be word to word... First people need to learn and understand contextually ...then retell the same thing in an understandable way and language.

Ukiwa umesoma physics or chemistry theories na ukawa huwezi kuzieleza kwa kwa ufupi na kwa lugha yako kwa urahisi na usahihi basi hukuelewa kitu.. ila ulifahamishwa na ukakariri.

Translation inawezekana... Japanese, French, Germans, Chinese and Indians did it.. so ugumu siuoni.. ila nitakubaliana na wewe kuwa tunahitaji commitment.
 
Imagine umesoma kayumba hlf unafika chuo unakutana na walimu vilaza anaingia anachomeka flash anasoma slides hana analijua, utafanya nini zaidi ya kukariri?
Tatizo ni elimu yetu kuna sehemu haipo sawa
 
Imagine umesoma kayumba hlf unafika chuo unakutana na walimu vilaza anaingia anachomeka flash anasoma slides hana analijua, utafanya nini zaidi ya kukariri?
Tatizo ni elimu yetu kuna sehemu haipo sawa
Kujua "WHAT" tumeweza..
Sasa Kimbembe ni "WHY" then "WHERE" and "WHEN"

Usishangae ukakutana na Dr... Amekwama pia.
 
Kujua "WHAT" tumeweza..
Sasa Kimbembe ni "WHY" then "WHERE" and "WHEN"

Usishangae ukakutana na Dr... Amekwama pia.
Ha haa ni shida. Kiukweli simcheki asiyejua kiingereza maana na mimi ni zao la kayumba. Nikisoma naelewa vzr hainipi shida, mtu akiongea hata Kama ni mzungu namuelewa vibaya mno, hata mtu akikosea najua kabisa hapa kakosea...ila uniambie niongee fluently..maweeeee
 
At 95% level of significant,we see that p- value is greater than alpha then we reject null hypothesis.(haya unae jua engine tafsiri hapo)
Kuna technical language na english Language for everyday communication purpose.

Kama hukusoma fizikia huwezi kujua misamiati ya Kifizikia. Vivyo hivyo kwa daktari hawezi kuielewa Lugha ya Wasanifu majengo...

That has nothing to do with English language comprehension skills ..ila ni tatizo la uelewa wa kitaaluma na lugha yake.
 
Jambo la msingi majuku yanaenda, kingereza siyo issue sana.
 
Hahaha! Kuwa Fluent kwenye lugha yoyote ni zao la mazoezi..bila mazoezi ufanisi unapungua...

Sasa sisi tunashinda Masasi mjini, kazi inanikutanisha na Na waswahili wenzangu tuu miaka 20 unataka niwe Fluent kwenye kizungu cha kusema naanzia wapi.

Cha kusikia utasema at least nitaangalia sinema.. cha kuongea labda useme mwenyewe kama mwehu.. πŸ™‚

Kama unasikia inatosha.. na kama unaweza kuweka sentensi moja moja kuhakikisha ujumbe wako unafika.. ubarikiwe.. kikubwa lugha yako moja.. jitahidi uwe Fluent.. na ufahamu kuiandika kwa ufasaha.. basi.
 
Jambo la msingi majuku yanaenda, kingereza siyo issue sana.
Imagine waandishi wa vitabu wangefikiria kama hivi! Kwamba there is not need to follow language rules we can just do whatever we see fit as long as I/we understand.. πŸ™‚

Unadhani ingechukua muda gani kuleta mkanganyiko kwenye urithishaji wa maarifa!?
 
Kujitahidi kuwa fluent ni kazi ya ziada, kwasasa sifanyi shughuli inayonitaka niongee kiingereza yaani hata sikutani na anaeongea kiingereza kwa mazingira niliyopo. Ila mwanangu anatema ung'eng'e kama Barack Obama vile
 


It is not too late at all rather it is too early.

With all the technologies around us it is a ripe time to start translating the scientific books from English etc, into kiswahili, only what we have to do, so as to make the job easy, is to leave all technical jargons intact and concentrate on the normal auxiliary words.

During the 15 century in England, the medium of instruction in higher learning institutions Latin was used the same as we use English in our Schools and colleges, when they managed to switch to English as medium of instruction, they left intact many latin technical words (jargons). We have to imitate the same way in order to make Kiswahili as medium of instruction in our schools and colleges.

The words like computer and names of diseases and medicines, the nanes like Velocity, momentum, acceleration, mass etc, have to be left intact.

Eg, My car having 2000kg mass travelled a distance of 500 metre at a velocity of 4 metres per second.

In kiswahili: Gari langu lenye mass (masi) ya kilo 2000 ilisafiri umbali wa mita 500 kwa velocity (velosite) ya mita 4 kwa sekunde.

As you can see, the words remained intact are mass, Velocity, sekunde.

That is an example of what should be done in the course of translation.

It is said by pychologists that a man understands things better in his "mother tongue" than in a learned language.

It is high time to use Kiswahili in our schools as medium of instruction, kiswahili is a number 2 in highly spoken languages in Africa. Why not now???
 
Kujitahidi kuwa fluent ni kazi ya ziada, kwasasa sifanyi shughuli inayonitaka niongee kiingereza yaani hata sikutani na anaeongea kiingereza kwa mazingira niliyopo. Ila mwanangu anatema ung'eng'e kama Barack Obama vile
Hahahaha! ... Akikuita Asubuhi.. unalaani πŸ˜€ unajua zoezi la Ung'eng'e linaanza πŸ˜€
 
We can Do it..

Lakini lazima tuanze kwa dhamira ya kutokushindwa.
 
Wewe umewezaje kuandika au kuongea Kiswahili ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…