Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango mazishi ya Dkt. Kamala

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
20240219_083502.jpg

Katika ibada ya mazishi ya Dkt. Kamala, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonesha usomi wa marehemu Dkt. Diodorus Kamala. Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA! Hapo nimechoka!

No wonder tuna wasomi ambao hawajapikika!
Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango.
 
View attachment 2908713
Katika ibada ya mazishi ya Dr D Kamla, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonyesha usomi wa marehemu Dr Diodorus Kamala.
Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA!
Hapo nimechoka!

No wonder tuna wasomi ambao hawajapikika!
Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango.
Usasa na kujidai kwenda na wakati kukizidi jibu ni raba-mtoni.
 
View attachment 2908713
Katika ibada ya mazishi ya Dkt. Kamala, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonesha usomi wa marehemu Dkt. Diodorus Kamala. Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA! Hapo nimechoka!

No wonder tuna wasomi ambao hawajapikika!
Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango.
kwan kulikua na maonyesho au mitindo ya uvaaji ama ni mazishi 🐒

nadhani si muhimu sana kulizingatia hilo...

Mwendo ameumaliza, Imani ameilinda Dr.D.Kamala apumzike kwa Amani
 
acha ushanba wewe kuna wengine ni kwa ajili ya health reasons sio unakurupuka tu by the way hata angevaa pensi inahusu? mnahangaikaaaaa na vitu very minor, sasa angevaa moka ndio huyo jamaa angefufuka ama
Mijitu mijinga kama ninyi ndio mtavaa chupi nje ya suruali kwa vigezo vya kutafuta makwapani!
 
Back
Top Bottom