Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Hahahaha kumbe huu mkodobwe ulikuwa unaendelea tuu jamani. ila wewe BADILI TABIA ni mbayaaaaaaaa (in Jotis'voice), wenzio tumehangaika wee kuukata mbuyu kwa mashoka tangu jana, afu wewe umekuja na umeukata kwa kiwembe tu mbuyu chaliiii kwi kwi kwi, yani una dharau wewe mwa mwa mwa (cheko la kisingle lady)
 
Last edited by a moderator:
mnaotamani kuingia kwenye ndoa ningwasihi mkae tu single....kuolewa especially na mwanaume wa ki-tanzania ni kujichimbia kaburi lako mwenyewe....maana ni heka heka huchelewi kupata kiharusi na BP!

kama ndoa ni kiharusi na Bp kwanini wewe ndio unaongoza kuhudhuria vikao na kuchangia kitchen party,send off na harusi za wenzio.
 
Mada nitoe mimi mumsakame mwingine,

katasan'kaza niachie hawa watu nimalizane nao mwenyewe.
Haya wote single and desperated old ladies,matusi yenu yote ni ya kizee anzeni ya dot.com na tumeni kwangu. Now
 
mmmmmmh aisee unajuana na avemaria personally?

Tangu Jana mmmh

Anijulie wapi kibwengo huyu ashakumu yake laki 5 za kudunduliza kwenye kuku??!!! Nauli ya kunifuata huku Sitimbi niliko utamkopesha???
 
Last edited by a moderator:
kama ndoa ni kiharusi na Bp kwanini wewe ndio unaongoza kuhudhuria vikao na kuchangia kitchen party,send off na harusi za wenzio.

sijawahi kuwa mwanakamati, nilishachanga only because nilitumiwa kadiz za mchango na rafiki zangu wa karibu. nimehudhuria arusi chache sana, for social purposes
 
Mtu akifanya vyote hivyo wewe kinakuuma nini? Anunue gari, ajichubue kuweka kucha bandia ni yeye, wewe yanakuhusu nini? Au mna compete nao kwenye mkt ya kutafuta wanaume?
Maana haingilii akilini mwanaume rijali aanze kufuatilia maisha ya wanawake! Mpk wanamiliki nini na jinsi wanavyojipodoa!
Mimi naona anawaonea wivu wanawake, labda wavaa kucha bandia na mawigi wameshamchukulia. si riziki
 
mimi naona anawaonea wivu wanawake, labda wavaa kucha bandia na mawigi wameshamchukulia. Si riziki

kila usiku ukiingia ni upweke tuuu....wenye ndoa ndio muda wa raha
 
Na tatzo lingine roho znawaima sana wanazania tunawaaribia soko hulia maana imefikia hatua wanaweka miku.n.d kwenye profile whatsapp tena wanaipenyua kabisa bila haya jaman keyboards znaficha mambo mengi sana........ni lazma walalamike soko limekufaa humu hakuna wanunua mik.nd ya wanaume shenzi zenu badala yakuoa yanaolewa

Kweli wasioolewa mjanga, we mpaka mwanaume anatafuta mwanaume mwenzake maana yake ninyi hamtamaniki.
 
Hahahahaha kumbe wenye magari wote na wanaojichubua hawajaolewa? Yani mtu nitafute pesa kwa jasho langu afu nisiitumie navyoweza kisa itaonekana nataka kukubalika kwa watu kwa sababu sijaolewa? Mnataka tusioolewa tuwe tunatembea kwa miguu tukilia njia nzima na kudondoka kwa presha za kutokuolewa. Please tuacheni tupumue jamani khaaaa

Wasalimie wanao
 
Si kamejificha nyuma ya pu zakooo lazima mpate dawa.....nikianzisha post za kuwahusu mbona waga mnashambulia lazima niwe mkali coz ilikua kaz yenu kusema wanawake jf wabaya kuja kuona baadhi ya picha zenu yani adi mnatia vichefuchefu kumbe keyboard inawafichia mengi sanaa afu kujifanya mnapondeani halali yenu kuponda si amjitambui

khee... kuna janbo si bure..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom