Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

illuh kwa mchango wako #287 umeongea kwa hisia sana, inaonekana umeongea kutokana na uzoefu. Hata hivyo dada yangu sio wote wanaovaa suruali ni wanaume wanaofaa kuitwa Mume wengine ni watoto wa kiume/wavulana tu. Vile vile sio wote wanaovaa sketi wanastahili kubeba majukumu ya mke, wengine ni warembo wa kustarehesha wenye nazo mijini tu..

Ukimtegemea Mungu utamuomba na atakupa wa kufanana na wewe, ukisubiri kutumia nguvu zako kumtafuta utampata ukiwa na Umri wa Sarah.....
 
Kuna ukweli kwamba.
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari, kujichubua na kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia, kucha bandia, nyusi bandia.

Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu, wakati mioyoni ni wapweke sana.

Hali hii walioolewa hawana.

Muda mwingi hawa ambao hawajaolewa wako katika mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeleza ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo, lakini uhalisia hautabadilika.


Mtu wa watu

Ni hivi usipojua kudeal na stress za ndoa lazima uzeeke. Unataka hautaki sasa hivi ndoa nyingi ni ndoano. Sasa ukiibeba ndoa kichwani ukawa unatembea nayo lazima ikuchakaze. Na sumu ya kupendeza ni stress ndio maana wadada single wanapendeza.
Labda roho imekuuma kwa sababu na magari wanaendesha, sio magari tu pia na nyumba wanazo ila kwa sababu hawawezi kutembea nazo ukaziona. Pia wana elimu ya kuwatosha na mambo kadha wa kadha. Unajua kwa nini wanaweza kufanya yote haya kwa sababu wana uhuru wa kutosha na wala sio kwa sababu hawajaolewa.

Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya baada ya kuolewa. Sio kwamba wanawake ambao wako kwenye ndoa hawana uwezo wa kufanya yote haya ila kwa sababu wanaume wengi ni selfish. Ili usimfunike lazima akudumaze. So uwezo wanao ila ili ndoa iweze kuendelea inabidi wakubali kuwa mazuzu.

So, dadaz nawapa big up sana. Msione thread ni nyingi za kuwakatisha tamaa ni kwa sababu people apreciate you very much but they can't tell. You're the threat, dont give up.
 
Ni hivi usipojua kudeal na stress za ndoa lazima uzeeke. Unataka hautaki sasa hivi ndoa nyingi ni ndoano. Sasa ukiibeba ndoa kichwani ukawa unatembea nayo lazima ikuchakaze. Na sumu ya kupendeza ni stress ndio maana wadada single wanapendeza.
Labda roho imekuuma kwa sababu na magari wanaendesha, sio magari tu pia na nyumba wanazo ila kwa sababu hawawezi kutembea nazo ukaziona. Pia wana elimu ya kuwatosha na mambo kadha wa kadha. Unajua kwa nini wanaweza kufanya yote haya kwa sababu wana uhuru wa kutosha na wala sio kwa sababu hawajaolewa.

Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya baada ya kuolewa. Sio kwamba wanawake ambao wako kwenye ndoa hawana uwezo wa kufanya yote haya ila kwa sababu wanaume wengi ni selfish. Ili usimfunike lazima akudumaze. So uwezo wanao ila ili ndoa iweze kuendelea inabidi wakubali kuwa mazuzu.

So, dadaz nawapa big up sana. Msione thread ni nyingi za kuwakatisha tamaa ni kwa sababu people apreciate you very much but they can't tell. You're the threat, dont give up.

mbona povu limekutoka sana hapa?walausije dhani nyumba ndio kigezo,wao wakisema wananyumba na kobe asemeje?
 
Ifike kipindi baadhi ya wanaume waache kuamini kuwa kumuoa mwanamke ni kama tendo la kumhurumia au kumsaidia. Mnakosea. Ndoa ni makubaliano kati ya mme na mke kuingia kwenye hatua ya juu ya mahusiano . Ukiona mtu amefikia umri mkubwa na bado hajaoa au kuolewa basi makubaliano hayo hayajafikia. Msitake wanawake wahahe kisa umri umeenda na hajaolewa. Ndoa sio cheo eti. Waulizeni walioko kwenye ndoa wawaeleze. Kujiamini, kujipenda na kuishi maisha mazuri ni jambo la kawaida, kwa mtu yoyote, hasa kama pesa anazitafuta mwenyewe.

I like it
 
ni hivi usipojua kudeal na stress za ndoa lazima uzeeke. Unataka hautaki sasa hivi ndoa nyingi ni ndoano. Sasa ukiibeba ndoa kichwani ukawa unatembea nayo lazima ikuchakaze. Na sumu ya kupendeza ni stress ndio maana wadada single wanapendeza.
Labda roho imekuuma kwa sababu na magari wanaendesha, sio magari tu pia na nyumba wanazo ila kwa sababu hawawezi kutembea nazo ukaziona. Pia wana elimu ya kuwatosha na mambo kadha wa kadha. Unajua kwa nini wanaweza kufanya yote haya kwa sababu wana uhuru wa kutosha na wala sio kwa sababu hawajaolewa.

Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya baada ya kuolewa. Sio kwamba wanawake ambao wako kwenye ndoa hawana uwezo wa kufanya yote haya ila kwa sababu wanaume wengi ni selfish. Ili usimfunike lazima akudumaze. So uwezo wanao ila ili ndoa iweze kuendelea inabidi wakubali kuwa mazuzu.

So, dadaz nawapa big up sana. Msione thread ni nyingi za kuwakatisha tamaa ni kwa sababu people apreciate you very much but they can't tell. You're the threat, dont give up.

tatizo la single ladies, ni kuwaaminisha watu kama ndoa ni ndoano!na ndio hao hao wanakesha kwenye harusi za wenzao.
Matatizo ya ndoa moja au mbili na kudhan ndoa zote ziko hivyo ni ugonjwa mbaya sana wa akili chanzo chake kikiwa ni "uwn"ukosefu wa ndoa!
 
ni shortiiiiiii wa khataaaaari... Anaumwa mfadhaikooo


ni kweli,tena kitakwimu wanume wafupi ndio waoongoza kwa kuwa na ndoa.chunguza.

Back to topic:issue hapa ni kuoa na kuolewa,biblia kuanzia ukuraasa wa mwanzo mpaka mwisho haijasema wanaume wafupi wasioe!
 
Ukweli huu ni mchungu kwao wasio olewa,na zaidi single ladies hao ndio wa kwanza kuzaa na wanaume walio kwenye ndoa zao.


huo ni ukweli usiopingika.ndoa ina heshima yake bwana..........!
 
tatizo la single ladies, ni kuwaaminisha watu kama ndoa ni ndoano!na ndio hao hao wanakesha kwenye harusi za wenzao.
Matatizo ya ndoa moja au mbili na kudhan ndoa zote ziko hivyo ni ugonjwa mbaya sana wa akili chanzo chake kikiwa ni "uwn"ukosefu wa ndoa!

Ndoa zipo tena ni jambo jema, matatizo kwenye ndoa yalikuwepo yapo na yataendelea kuwepo hayakwepeki, single ladies/man wapo na wataendelea kuwepo. Kupanga ni kuchagua rafiki.
 
ndoa zipo tena ni jambo jema, matatizo kwenye ndoa yalikuwepo yapo na yataendelea kuwepo hayakwepeki, single ladies/man wapo na wataendelea kuwepo. Kupanga ni kuchagua rafiki.


na kuchagua kwako isiwe,dhambi kwa mwingine wenye chaguo lake.
 
Ni hivi usipojua kudeal na stress za ndoa lazima uzeeke. Unataka hautaki sasa hivi ndoa nyingi ni ndoano. Sasa ukiibeba ndoa kichwani ukawa unatembea nayo lazima ikuchakaze. Na sumu ya kupendeza ni stress ndio maana wadada single wanapendeza.
Labda roho imekuuma kwa sababu na magari wanaendesha, sio magari tu pia na nyumba wanazo ila kwa sababu hawawezi kutembea nazo ukaziona. Pia wana elimu ya kuwatosha na mambo kadha wa kadha. Unajua kwani nini wanaweza kufanya yote haya kwa sababu wana uhuru wa kutosha na wala sio kwa sababu hawajaolewa.

Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya baada ya kuolewa. Sio kwamba wanawake ambao wako kwenye ndoa hawana uwezo wa kufanya yote haya ila kwa sababu wanaume wengi ni selfish. Ili usimfunike lazima akudumaze. So uwezo wanao ila ili ndoa iweze kuendelea inabidi wakubali kuwa mazuzu.

So, dadaz nawapa big up sana. Msione thread ni nyingi za kuwakatisha tamaa ni kwa sababu people apreciate you very much but they can't tell. You're the threat, dont give up.

I love you my
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom