Wasifu wa Elimu wa Dr. Mary Mwanjelwa

Jamani si ndo huyu alikuwa na kashfa ya kuiba taulo katika hotel moja aliyokuwa amepanga pale Arusha mwaka jana? Ama!
 
post zako zinaonesha na wewe ni mmojawapo wa wawachakachuaji wa elimu
Sure, Nahisi huyu homeboy naye Kihiyo. lakini ukiangalia miaka baada ya Sister Mary Kuhitimu kidato cha sita, amekuwa anafanya kazi na kusoma kwa pamoja. Inatia shaka kama dada yangu amekaa lecture theatre hata mwaka mmoja.
 
Tanzania is a society of doctors and professors impressionists. Watu wanapenda kuitwa madoctors and maprofessors hali yakuwa hizo title haziwafai. Ndio maana watanzania wengine wakifail PhD zao wanajiua tunaobsession ya matitle. Wacha na mie nianze kujiita Dr Mdondoaji, Professor Mdondoaji, Distinguished Professor Dr Mdondoaji, mwe ushamba mwengine jamani KASOMENI MZIPATE NA SIE KUSUBIRIA ZA KUCHAKACHUA.
 
labda ni kama professor maji marefu au Dr. Remmy {RIP} just a nick name!!
 
Kusema uongo sio jambo zuri hata kidogo, inaonyesha kutojiamini kwa mbunge wetu huyo, kwani wapo viongozi wengi wenye elimu ya kawaida na ni watendaji wazuri... hiyo taarifa yake ya elimu ina utata tupu, hiyo A level ya mwaka mmoja 1982 hadi 1983 imenichosha zaidi.
 
Kusema uongo sio jambo zuri hata kidogo, inaonyesha kutojiamini kwa mbunge wetu huyo, kwani wapo viongozi wengi wenye elimu ya kawaida na ni watendaji wazuri... hiyo taarifa yake ya elimu ina utata tupu, hiyo A level ya mwaka mmoja 1982 hadi 1983 imenichosha zaidi.
 
Thinkers at work, I am comfused, but let me dowload this for further analysis. I will use Mat-lab.
 
Anaiba mashuka/taulo atashindwa kujiibia huo u-Dr?
Hiyo website ya bunge ni ya kibabaishaji tu ukiwaambia chochote wao wanapost hawakuulizi vyeti halisi viko wapi
Hata Lusinde naye ni Dr. (ana PhD ya Utukanaji)
 
Sasa wewe umeleta wasifu wa huyu muh.ili tufanyaje? Wananchi hatujali elimu ya mtu wala wasifu wake....tunachojali ni utendaji wake wa kazi tu basi. Maana kama ni elimu viongozi wa serikali ya ccm wamesoma hadi mwisho wa dunia'lakini hakuna chochote wanachoki
fanya zaidi ya kuwaibia wananchi tu (full ufisadi). Alafu kwanini usihoji u DR wa Kikwete?. Kwanza huyu Mary mwanjelwa ni mpambanaji sana kwa kuwatetea na kuwaletea maendeleo wakazi wa mkoa wa Mbeya....sema hili lichama alilokwenda (ccm)
ndilo linalomuharibia.

Upambanaji haufanyi awe Doctor unless u-Doctor wake ni sawa na ule wa Prof. Maji Marefu!! Kama alivyosema jamaa moja hapo nyuma, inaelekea ni Kilaza mwingine wa UWT!! Vipanga hawaanzii Kurasini!!
 
kwa elimu ya kidato cha sita ameshika nafasi hizi

Placer Dome Tanzania (Gold Mine)------->Manager - Liason & Corporate 2001 - 2005
Two Wings Pegasus Ltd - Tanzania-------->Manager 2000 - 2001
(PSRC) --------------------------------------> Assistant Information Officer 1999 - 2000
Agakhan Foundation------------------------->Administration Officer 1998 - 1998


baada ya kupata advanced diploma

PSI Tanzania ----->Director 2006 -2010

Hii nguvu sijui ameitoa wapi! who is behind her???
Behind every succssessful man there is a woman,
Behind every successful woman there is a MAN!
Who is the MAN?
 
nina hoja;alipomaliza Alevel siha secondary 1983, akaibukia kuajiriwa kama administrative officer pale aga khan foundation mwaka 1998!miaka kumi na tano bila kuwa nashughuli aliyokuwa anafanya!someni wasifu wake muone!mi naona kuna vitu vinakosekana katika haya maelezo yalikyoletwa jamvini!
 
PHd yake ni ya heshima. Sikumbuki ni chuo gani kilichompa hiyo degree, ila nakumbuka alikabidhiwa hiyo degree ya heshima pale Mikocheni B Assemblies of God (kwa Dr. Rwakatale) Habari ndo hiyo!
 
Dr.Mary Mwanjelwa ni mmoja ya wakina mama makini katika utendaji wao na mara zote amekuwa akisema uDr alionao ni wakupewa na kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa amepewa na chuo kimoja cha south afrika na wakati anapewa tayari alikuwa bungeni
 
Mbona sioni alikuwa anafanya nini between 1983 to 1998? Does this explain her meteoric rise to the top? How did she start with Agakhan Foundation without qualifications?
 
Ni Dr. Magumashi huyu ndio maana analilia uwaziri wakati kuna wenzie kibao hawakuteuliwa. achana nae
 
Taarifa hizi nimezitoa kwenye website ya Bunge. Pamoja na kwamba anaitwa Dr. mwanzo wa jina lake, lakini hakuna mahali panapoonyesha huo u-Dr. unatokana na yeye kupata PhD, au MD, au BVB au Honoris Causa. Pili najiuliza kama Centre for foreign relations walianza lini kutoa BA. Kwa kuwa hadi leo hii chuo hicho kinatoa elimu katika ngazi ya Cheti, Diploma na Post-Graduate Diploma. Huyu amedanganya taarifa zake za elimu, pia hakuna chuo kinachoitwa " Institute for Diplomacy & International Relations" bali kuna "Centre for Foreign Relations"

Salutation
Honourable
Member picture
1579.jpg

First Name:
Dr. Mary

Middle Name:
Machuche
Last Name:
Mwanjelwa
Member Type:
Special Seat
Constituent:
No Constituency
Political Party:
CCM
Office Location:
Box 72140, Dar Es Salaam
Office Phone:
+255 787 032800/+255 767 032800
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Muungano Primary School
Primary Education
1971
1977
PRIMARY
Sangu Secondary School, Mbeya
O-Level Education
1978
1981
SECONDARY
Siha Secondary School, Moshi
A-Level Education
1982
1983
HIGH SCHOOL
Institute of Management & Information Technology
Advanced Diploma
2001
2004
ADV DIPLOMA
Institute for Diplomacy & International Relations , Kurasini Dar Es Salaam

BA
2006


GRADUATE
St. Augustne University of Tanzania
Degree (Mass Communication)
2009
MASTERS DEGREE
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type
Certification No.
Issued
Expires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date
The Parliament of Tanzania
Member - Special Seat
2010
2015
Population Services International (PSI) Tanzania
Director
2006
2010
Placer Dome Tanzania (Gold Mine)
Manager - Liason & Corporate
2001
2005
Two Wings Pegasus Ltd - Tanzania
Manager
2000
2001
Parastatal Sector Reform Commission (PSRC), Tanzania
Assistant Information Officer
1999
2000
Agakhan Foundation
Administration Officer
1998
1998
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member - National Executive Committee
2007
2012
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member - UWT National Board
2007
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member - Regional General Council
2006
PUBLICATIONS
Description
Published Date
Dr. M. Mwanjelwa: Political Handbook, "Mobilising Women in Tanzania for Election & the Empowerment" Fridrick Egbert Stiftung (FES), Dar Es Salaam.
2009
Dr. M. Mwanjelwa: Political Handbook, "The Role of Communication in Enhancing the Political Participation of Women" Fridrick Egbert Stiftung (FES), Dar Es Salaam
2009
Dr. M. Mwanjelwa: Political Handbook, "The Plight of Women in Economic Struggle & a Case of Tanzania Women & Leadership", Fridrick Egbert Stiftung (FES), Dar Es Salaam
2010
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description
Years Experience
Acquired Through
Skill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type
Recognition Date
Reason
Action Taken
Issued by


labda ni kama wakina Prof maji marefu au dr Dr Manyuki
Tunaomba awi-thdraw hiyo dr- rate yake au atetee hii hoja
 
PHd yake ni ya heshima. Sikumbuki ni chuo gani kilichompa hiyo degree, ila nakumbuka alikabidhiwa hiyo degree ya heshima pale Mikocheni B Assemblies of God (kwa Dr. Rwakatale) Habari ndo hiyo!
U daktari kanisani? Hivi inawezekana eenh?
 
Back
Top Bottom