- Sawa sawa mkuu, balanced na imetulia sana!, labda tuseme mapungufu yake kiuongozi lakini siamini kwamba elimu yake ina utata hata kidogo!
William.
Mkuu Kimbunga ni kweli watoto wengi wa watumishi wa balozi zetu walirudishwa ktkt ya miaka ya 80 na kuingizwa ktk shule za Azania na Tambaza kwa wavulana na Zanaki na Jangwani kwa wasichana. Hussein alifaulu kidato cha nne akitokea Azania,akaingia Tambaza,ambako alisoma kidato cha 5 tu,hakufika cha 6. Kwa hiyo hana cheti cha kidato cha 6 pengine kama kulikua na uchakachuaji! Ni ktk kipindi hiki vijana wengi wa Kiislamu walipata scolarship za kwenda kusoma Turkey kupitia Taasisi moja ya Kiislamu ambayo sasa imeishapigwa marufuku ikiitwa BALUKTA kama sikosei,ikiongozwa na Sheikh Yahya Hussein! Ni kipindi cha harakati za Khigoma Ally Malima! Hussein alipomaliza masomo Uturuki akarudi nyumbani,inasemekana Muhimbili walikataa kuutambua udaktari wake. Wakataka kumrudisha aanze kusoma kama mwanafunzi wa mwaka wa tatu. Inaonyesha madaraka yakatumika akaondoka kwenda Uk kwa Masters! Baadaye yakatengenezwa mazingira akawa mbunge wa Mkuranga huko Kisarawe,kabla akatambua yeye ni Mzanzibari akavuka bahari akaenda kugombea ubunge Zanzibar! Kwa kutumia Uzanzibari ameweza kuwa mmoja wa wanasiasa wenye nguvu ndani ya CCM!timbilimu watoto wa mabalozi walirudishwa na utawala wa Mwinyi nadhani mwaka 1987 na kweli wengi walienda Tambaza na Azania lakini siyo miaka ya 1983.
CV ambazo zipo kwenye tovuti ya Bunge ni pasua kichwa haziaminiki hata kidogo; zimejichanganya sana.
umeona mkuu!! wanajaribu saaaana!!! kutafuta tundu katika CV yake hawapati! wamesha edit pia eti kasoma secondary o-leval miaka miwili ..!! ililetwa CV ya yule anaijiita mwanasheria wa CDM ilikuwa na utata mtupu!!
Mkuu Wiliam waulize dada zako akina Dr. Mwele na Dr. Secela naamini wanaelewa vizuri shule ya huyu jamaa kuliko wewe!- Sawa sawa mkuu, balanced na imetulia sana!, labda tuseme mapungufu yake kiuongozi lakini siamini kwamba elimu yake ina utata hata kidogo!
William.
Swala la elimu yake ya udaktari mpaka master ni kweli alisomea.swala la internship alifanya Muhimbili.swala la kuwa registra alikuwa muhimbili unapokuwa umeajiriwa unapoenda kusoma postgraduate ajira yako haisimami unaendelea kutambulika ni muajiriwa wa sehemu husika ndani ya serikali labda uwe hukutimiza masharti ya kuomba kwenda kusoma kupitia muajiri.Swala ambalo sina uhakika nalo ni hiyo PHD yake.Swala lingine tusuburi tumuhukumu kwa utendaji wake kama waziri na mwanasiasa kwenye hiyo wizara ambayo ina madudu mengi ni jinsi gani ataleta mabadiliko na atakavyowajibika ndiyo tunachosubiri.KIMSINGI WALIO WENGI WANADANGANYA ILA HUYU AMEZIDI JAMANI
![]()
HII CV INAJADILIWA KWENYE JUKWAA MOJA LA WASOMI......HEBU TUSHIRIKIANE NAO KIDOGO HAPA, IANGALIE KWA MAKINI,
: Hussein Mwinyi
Surname Mwinyi
First Names: Hussein Ali
Alternate Name
Title: Dr
Country of Birth : Tanzania
Positions
From To Organisation Position
2008 Ministry of Defence & National Services Minister of Defence & National Service
2006 2008 Vice-President's Office Minister of State for Union Affairs
2005 Kwahani Constituency MP for Kwahani
Date of Birth 23 Dec 1966
Political Affiliation CCM
Telephone
Address
Notes +255 744 279343 [ Retrieved on 19-07-06 ]
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
-Hamersmith Hospital U.K/ Masters in Internal Medicine/-1993-1997 /MASTERS DEGREE
-Marmara University Turkey/ Doctor of Medicine/ 1985-1992 /CERTIFICATE
-Tambaza High School/ A-Level Education /1982-1984/ HIGH SCHOOL
-Azania Secondary Schoo/l O-Level Education/ 1981-1982 /SECONDARY
-Manor House Primary School/ Primary Education /1978-1981 /PRIMARY
-Oysterbay Primary School/ Primary Education/ 1974-1978 /PRIMARY
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Vice-President's Office - Union Affairs Minister 2006
Ministry of Health Deputy Minister 2000 2005
Hubert Kairuki Memorial University Lecturer in Medicine 1998 1998
Ministry of Health Specialist Doctor 1997 1997
Ministry of Health Doctor 1993 1993
****
POINTS TO NOTE!!!
1991-1992-Intern (Marmar university Turkey )
1993-1993- Doctor MMC
1994-1995- Registrar MMC
1991-1997-Masters UK
1)Kwani tofauti kati ya doctor na registrar ni nini?
2)Huyu mtu alisomaje masters tena Clinical:redface: huku anafanya intern Turkey?? tena wakati huo huo akiwa Doctor and registrar Muhimbili??? wakati huohuo akiwa anafanya masters UK?
MH. Dr. Mwinyi, ufafanuzi wako ni muhimu sana katika hili suala la sivyo tutaanza ku'doubt hizi elimu zako!
Nawasilisha...
Hivi siye mie niliesoma ktk gazeti la Mwananchi kuwa madaktari wamepongeza uteuzi wake au ilikuwa ndoto ya aladin na taa yake ya ajabu au?
Boy oh boy
How can you confirm his educational path? We're you ever present in his life path?
wewe nawe kiazi hakuna lislowezekana bongo. Unamkumbuka doctor mwanamke kule dodoma miaka ya 90smimi ninavyofahamu ni kwamba dkt mwinyi amesoma competently na ni qualified physician. Ama kuhusu hii cv sina uhakika ni nani kaichakachua. Kazi yake aliyokuwa akiifanya kabla ya kuanza siasa mwaka 2000 ilikuwa ni mhadhiri, uhadhiri hauendani na uchakachuaji wa elimu
tafuteni watu wengine wa kuwasimanga kielimu..........lakini sio Dr. Hussein Mwinyi...........jamaa ana uwezo mkubwa darasani........semeni kingine lakini sio elimu yake.........
William we ubashabukia vitu vya kijinga namna hii hapo huoni utata nimeshakutoa katika watu wa maana kabisa huna maana