citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,579
- 777
Mh mhnnnhuu uzi utafutwa tu cheki kwenye blue hapo!
Mh mhnnnhuu uzi utafutwa tu cheki kwenye blue hapo!
Alikua jiniazi akarushwa darasa moja
Teh teh! Mmh alisoma mchepuo gani..!
Halafu miaka hiyo, A level mitihani ya necta ilikuwa ikifanyika mwezi May, na wanafunzi wapya walikuwa wanaanza form 5 mwezi July! Ina maana yeye alianza A level mwezi january 85' akasoma 5 na 6 kwa miezi mitano tu labda na tuition za mtaani alisoma baada yakumaliza form 4 kisha akafanya necta? Au alijiunga form5 mwezi july 85' kisha ndani ya mwaka huo huo akafanya mtihani wake wa necta peke yake..!?
basi tumpe nchi, jiniaz kweli kweli huyo!!