Wasifu(CV) wa Tundu Lissu

Wasifu(CV) wa Tundu Lissu

Egoistic politician, typical Mtikilaist. No more than self-centric minded political activist.
 
Wewe unajua sana kuliko wale waliompeleka mahakamani na kushindwa kutaja makosa yake?au unaweza kuwa shahidi?
 
Mbona ameshindwa kutumia vifungu Vya SHERIA kumbana naibu Spika? Ambaye anatumia vifungu Vya SHERIA kuongoza bunge Na UKAWA walipoona Dr.Tulia anawabana Kwa Vifungu waka muuliza Nguli wao wa SHERIA watumie kifungu gani kumbana naibu Spika akawaambia Wafunge Vitambaa midomoni.Pale amekutana Na Dr washeria arudi shuleni.Spika Makinda alikuwa ni muhasibu by professioner ndio maana alikuwa anamtumia.BT now Tundulisu inabidi akasome Shelia Kwa DR TULIA .NIMAWAZO YANGU TU MSITOE POVU
*Shelia=Sheria.
 
Hii ndio CV (curriculum vitae) ya kamanda Tundu Lissu

Full Name: Tundu Antiphas Mughwai Lissu

Member Type: Elected Member

Constituent: Singida Mashariki

Political Party: Chama cha Demokrasia na Maendeleo

Office Location: Box 21746, Dar Es Salaam

Office Phone: +255 22 2780859/+255 754 447323/+255 786 572 571

Office E-mail: tlissu@parliament.go.tz

Date of Birth: 20 January 1968

EDUCATION

Mahambe Primary School:
CPEE (1976 - 1982) - Primary School

Galanos Secondary School:
ACSEE (1987 - 1989) - Secondary School

Ilboru Secondary School:
CSEE (1983 - 1986) - Secondary School.

University of Dar Es Salaam:
LLB (1991 - 1994) Bachelor's Degree

University of Warwick, UK:
LLM (1995 - 1996) - Masters Degree

EMPLOYMENT HISTORY
Member of The Parliament of Tanzania:Singida West Constituency (2010 - 2015)

Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)😀irector of Researcher (2003 - 2008)

The World Resources Institute (WRI), USA:Researcher (1999 - 2002)

Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) Researcher (1998 - 1999)

D'Souza Chambers:Advocate (1994 - 1997)

Bondeni Secondary School:Teacher (1990 - 1991)

POLITICAL EXPERIENCE
CHADEMA😀irector of Law (2004 - To Date)

NCCR-Mageuzi:Member of Parliament Candidate (1995)
Warwick ni chuo kizuri sana cha sharia no wonder is a good lawyer
 
Mahakama haiwezi kumhukumu Lissu kwasababu havunji sheria
MY FOOT! TUNDU LISSU ALIPOKUWA MTOTO ALIKUWA NA TABIA YA KUCHUKOZA WENZIE HALAFU ANAJIFICHA MIGUUNI KWA MDINGI, NA SASA ANACHEZA NA SHERIA KUJARIBU KUJIVIKA JOHO LINALOMPWAYA VIBAYA!
HE'S JUST ANOTHER GREEDY COWARD (a.k.a HYENA!)

hyena.jpg
 
MY FOOT! TUNDU LISSU ALIPOKUWA MTOTO ALIKUWA NA TABIA YA KUCHUKOZA WENZIE HALAFU ANAJIFICHA MIGUUNI KWA MDINGI, NA SASA ANACHEZA NA SHERIA KUJARIBU KUJIVIKA JOHO LINALOMPWAYA VIBAYA!
HE'S JUST ANOTHER GREEDY COWARD (a.k.a HYENA!)
greedy-hyena.jpg

Sijakuelewa,rudia kuandika tena.
 
MY FOOT! TUNDU LISSU ALIPOKUWA MTOTO ALIKUWA NA TABIA YA KUCHUKOZA WENZIE HALAFU ANAJIFICHA MIGUUNI KWA MDINGI, NA SASA ANACHEZA NA SHERIA KUJARIBU KUJIVIKA JOHO LINALOMPWAYA VIBAYA!
HE'S JUST ANOTHER GREEDY COWARD (a.k.a HYENA!)

hyena.jpg


Duh, nasinzia ngoja nilale tu, nitaangalia asubuhi comment hii na picha yake....
 
Aiseee kuna watu wengine unashindwa kuwaelewa, yaani unamshangaa mtu anayeishangaa hiyo Cv kwa kusema ni ya kawaida na labda kwa kuwa mtu hana hiyo elimu ya masters? Hivi issue ni mlundikano wa vyeti au ni jinsi akili yako inavyoweza kuthibitisha pasipo shaka kuwa elimu yako inaendana na ulicjonacho kichwani na nini unachodeliver. kwa wanasheria nadhani watanisaidia issue hapa siyo wingi au lundo la vyeti ktk sheria hapa ni namna unavvyoweza kuitafasiri sheria. Wapo watu wana phd lakini wapeleke kwenye eneo husika utawaonea huruma.
Kweli mkuu kuna watu Wa master lakini ndio hivyo sadam Hussen rais Wa kuweit
 
Lumumba hawataki kuiona wala kuisikia CV hii ya Nguli wa sheria hapa Tanzania na ukanda wa A. Mashariki na kati kwa ujumla. Huyu ndiye aliyewafanya vijana hao wa Lumumba walale na viatu jana tarehe 5 Julai 2016 pale alipowadhalilisha kwa kuwafunza sheria mawakili wa serikali kwenye mahakama ya Kisutu. Wamwache Tundu amzodoe mkuu wa kaya kwa raha zake.
Hiyo CV haifikii hata ya ka Dr Tulia ambako kana angalau ka PhD kamoja ka sheria na ka Unaibu Mwanasheria Mkuu wa serikali na ka unaibu Spika wa bunge la JMT. Halafu kuna maprofesa na majaji wa sheria kibao. Sasa huo unguli wa sheria wa Tundu Lissu unatoka wapi?
 
we unaye sema nyepes yako iko wapi au unaongea kwa kuwa leo imepiga mswak na dawa ya meno mpya sio? weka yako tulinganishe maana hauwez kusema hii sio bora kama hakuna bora zaid ya...
 
Back
Top Bottom