Wasifu(CV) wa Tundu Lissu

Wasifu(CV) wa Tundu Lissu

Lumumba hawataki kuiona wala kuisikia CV hii ya Nguli wa sheria hapa Tanzania na ukanda wa A. Mashariki na kati kwa ujumla. Huyu ndiye aliyewafanya vijana hao wa Lumumba walale na viatu jana tarehe 5 Julai 2016 pale alipowadhalilisha kwa kuwafunza sheria mawakili wa serikali kwenye mahakama ya Kisutu. Wamwache Tundu amzodoe mkuu wa kaya kwa raha zake.


hivi hawa mawakili wa CCM wamejifunza sheria kivukoni ??
 
Kwakweli Lissu huwa ananikosha sana,ana degree ya Pili ya sheria lakini nice mahiri sana kwenye ulingo wa she ria kuwazidi hata akina Mwakyembe et al. naona atawasumbua sana hawa watawala wasipokua makini katika kuhendo kesi mbalimbali zitakazokua zinamkabili.
 
Kwakweli Lissu huwa ananikosha sana,ana degree ya Pili ya sheria lakini nice mahiri sana kwenye ulingo wa she ria kuwazidi hata akina Mwakyembe et al. naona atawasumbua sana hawa watawala wasipokua makini katika kuhendo kesi mbalimbali zitakazokua zinamkabili.
Acha ujinga wewe. Inaonekana uliishia darasa LA pili. Tundu Lissu kafundishwa na Dr Mwakyembe period!
 
Kama dawa yake inachemka ramda serikali ya kidicteta wa kumua sio sheria
 
Back
Top Bottom